Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Jamani wadau nipo apa, Ferry upande wa magogoni kuna kajibaa flani apa uwaga tunakaaga tukisubiria kivuko, napiga safari yangu ya baaariidi, kaja jamaa mmoja, kajiintrojuce kwangu yeye ni forenar katokea pande za kwa kibaki, amekuja tafuta job apa tz, kwa apa tz amefikia ubungo kwa rafiki yake na ana Digree ya Accautancy amegraduate last year.
ILA SASA ameniambia uku posta alikuja kwa ajili ya kuangalia ela zake KCB BANK ila amekuta bdo azijzfika ivyo ANOMBA NIMPE JAPO ELA KIDOGO ATA NAULI YA KUMRUDISHA UBUNGO kwa mshikaji wake alikofikia,wadau nipeni ushari faster, apa napotuma ihii yupo pembeni yangu..
ILA SASA ameniambia uku posta alikuja kwa ajili ya kuangalia ela zake KCB BANK ila amekuta bdo azijzfika ivyo ANOMBA NIMPE JAPO ELA KIDOGO ATA NAULI YA KUMRUDISHA UBUNGO kwa mshikaji wake alikofikia,wadau nipeni ushari faster, apa napotuma ihii yupo pembeni yangu..