msaada wa haraka jaman

maleka

Senior Member
May 23, 2013
143
33
wana jf naombeni mnisaidie proceedure za kuomba mkopo na chuo kwa ujumla coz nimemaliza f6 lkn naona wananichanganya ktk hiz proceedure.Naombeni msaada.
 
Wanakuchanganya nini au ww ndiye unaejichanganya. form 6 unashindwa kujua ni fanye nini au na ww ulifaulishwa kuingia form 5? chakufanya visit chuo unachotaka ku join ktk website yao, ujue wanatoa programe zipi ukisha ona program unayoitaka, nenda website ya tcu-tanzania commission for universities, unafanya online application. utapata admission online through tcu. usiwe mvivu kusoma usije ukawa kama akina Mh.Dr. Kawambwa
 
wana jf naombeni mnisaidie proceedure za kuomba mkopo na chuo kwa ujumla coz nimemaliza f6 lkn naona wananichanganya ktk hiz proceedure.Naombeni msaada.

Msomi mzima unaandika kama unakimbizwa? pole sana..
 
Back
Top Bottom