Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Wadau nisaidieni, Nina mpenzi wangu ananipenda sana lakini anataka kuniacha sababu mimi huwa ninatatizo la mishipa ya ubongo hunisababishia kutokuelewana vizuri wakati wa mazungumzo.
Daktari yoyote mtaalamu wa masikio, mishipa hapa Dar es salaam yuko wapi anisaidie? nitamuelekeza tatizo langu vya kutosha. Hata hivyo napenda nitoe summury kidogo:-
Huwa nina shida ya kusikia hasa sehemu zenye makelele mengi au mziki mkubwa na kibaya zaidi ninapokuwa na mtu naongea naye nikijihisi tu sisikii basi napoteza yote na siwezi kuelewana naye tena. Help please!
Daktari yoyote mtaalamu wa masikio, mishipa hapa Dar es salaam yuko wapi anisaidie? nitamuelekeza tatizo langu vya kutosha. Hata hivyo napenda nitoe summury kidogo:-
Huwa nina shida ya kusikia hasa sehemu zenye makelele mengi au mziki mkubwa na kibaya zaidi ninapokuwa na mtu naongea naye nikijihisi tu sisikii basi napoteza yote na siwezi kuelewana naye tena. Help please!