Msaada wa haraka ghrama na michoro ya ujenzi wa ukumbi wa mikutano

wamoro

Member
Sep 16, 2009
62
16
Wadau salaam!

Nimepata ufadhili wa kujenga ukumbi wa kisasa wa mikutano (conference facility) wenye uwezo wa kuingiza wato 300-600.natakiwa nipeleke michoro na ghrama za ujenzi.nimejaribu kuomba msaada wa wasanifu bei zao hazishikiki kabisa kabisa.wadau naomba mawazo nafsi itapotea kabisa hii.
 
Back
Top Bottom