Msaada wa Digital Camera

Kwetu Iringa

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
355
88
Hodi wana JF!!
Nimenunua digital camera aina ya Sony Cybershot. Kwa bahati mbaya nilianza kuitumia kabla sija-set date. Sasa nashindwa kuseti date. Kumbe nilitakiwa kuseti date kabla sijaanza kuitumia. Kwa hiyo picha zinakuwa na wrong date.

Naomba msaada: Nifanyeje ili niweze kuseti date?? Tafadhali nisaidieni kwa wanaojua!!

Natanguliza shukrani
 
Hodi wana JF!!
Nimenunua digital camera aina ya Sony Cybershot. Kwa bahati mbaya nilianza kuitumia kabla sija-set date. Sasa nashindwa kuseti date. Kumbe nilitakiwa kuseti date kabla sijaanza kuitumia. Kwa hiyo picha zinakuwa na wrong date.

Naomba msaada: Nifanyeje ili niweze kuseti date?? Tafadhali nisaidieni kwa wanaojua!!

Natanguliza shukrani

Kwa isiue zozote za za kifaa refence na kimbilio lakwanza huwa ni Manual. Kama huna manual tembelea tovuti ya watengenezaji .kulingana na model ya hiyo camera ambayo hujataja tafuta manual utapata maelekezo namnayakuset tarehe Nadhani hayo mambo yatakuwa kwenye kipengele cha setting

Otherise nimejaribu ku google nikakutana a na maelekezo haya yanayweza kuwa na msaada
found the manual tricky to find on sony's own website .. not too intuitive.

It's on page 48 (the pictures help)

But basically -

1.press the MENU button
2. From here press > (on the round control button) when you're over top of the Setup icon
3. There should be a Clock Set option in one of these menus (scroll up and down til you get it) Press the round button in the middle of the control button to select it. [h=3]Source(s): http://esupport.sony.com/US/perl/model-d…[/h]Chanzo How to set time and date on Sony Cyber Shot DSC-S730 camera? - Yahoo! Answers

so summary ya kutatua tatizo lako ni moja au yote kati ya haya Manual au google au tovuti ya watengezaji
 
Kwa isiue zozote za za kifaa refence na kimbilio lakwanza huwa ni Manual. Kama huna manual tembelea tovuti ya watengenezaji .kulingana na model ya hiyo camera ambayo hujataja tafuta manual utapata maelekezo namnayakuset tarehe Nadhani hayo mambo yatakuwa kwenye kipengele cha setting

Otherise nimejaribu ku google nikakutana a na maelekezo haya yanayweza kuwa na msaada


so summary ya kutatua tatizo lako ni moja au yote kati ya haya Manual au google au tovuti ya watengezaji


Nashukuru sana tena sana!!! Nimefanikiwa. Wote mubarikiwe sana.
 
Kumbuka siku nyingine ukinunua kifaa ukumbuke hii kitu RTFM(READ THE ****ING MANUAL)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom