Msaada wa diet tafadhali

Kituku

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
238
24
Ndugu zangu, nina ndugu yangu ana umri wa miaka 30 na urefu wake ni kama ft 6.3 hivi, ila kwa hakika ni mnene ambao ameuchoka na unamkera sana, hasa tumbo... na kwa sasa ana kg 70 hivi, unene unamkera sana na ameshajaribu diet chache tofauti, hasa zile za kahawa, mbogamboga , matunda, yai na dried nyama... hii imemuwea ngumu kumalizia kwa sababu ya gharama yake na kupenda kula vyakula vya kiasili kabisa, kama wali chipsi , ugali, samaki

wana ndugu, hakuna simple diet ambayo naweza kumshauri(kutokea kwenu) ili aweze kupungua kidogo kidogo? si lazima ile ya faster sana? (ile yandani ya wiki mbili)
Mazoezi anafanya sometimes.
..
 
Huyu ndugu yako yupo tayari kabisa kuloose hiyo extra weight? Kama yupo tayari aseme mi nitampa ila awe mvumilivu.
 
Brandon; Huyu ndugu yako yupo tayari kabisa kuloose hiyo extra weight? Kama yupo tayari aseme mi nitampa ila awe mvumilivu.

Mi pia ninajamaa angu anakereka sana na uzito alokuwa nao
Tupe hiyo kitu naye azidi kuwa kijana
 
NOTHINH SPECILA THAN JUST CUTTING DOWN ALL CARBS NA FAT.

MWAMBIW AKAZE MOYO AFANYE HIVI:

WIKI YA KWANZA ATUMIE CABBAGE SOUP, AWEKE KAROTI NA HOHO ACHEMSHE. ALE NA MATUNDA. AHAKIKISHE HALI CARBS WALA FATTY FOODS.

WIKI YA PILI IWE NI YA MATUNDA TU NA FRESH JUICE. AHAKIKISHE ANAKULA NA MBOGA ZA MAJANI KWA WINGI.

WIKI YA TATU ANAWEZA KULA CARBS KIDOGO ILA MATUNDA NDO YAWE MENGI. ANYWE MAJI MENGI SANA HATA ZAIDI YA LITA NNE.

AKIMALIA HAPA SASA ANAWEZA RUDIA ILE YA WIKI YA KWANZA.

AFTER FOUR WEEKS AANZE KULA VYAKULA VYA KAWAIDA ILA ALE HALF PORTION YA ILE ALIYOZOEA.

NATUMAINI ITAMSAIDIA. IT WORKED FOR ME AS I LOST MORE THAN 10kg KWA MWEZI.

KIKUBWA NI COMMITMENT TU NA UVUMILIVU.
 
A simple diet which works like a charm......

Don't eat until you feel very hungry, then eat not more than just enough to take your hunger away
 
NOTHINH SPECILA THAN JUST CUTTING DOWN ALL CARBS NA FAT.

MWAMBIW AKAZE MOYO AFANYE HIVI:

WIKI YA KWANZA ATUMIE CABBAGE SOUP, AWEKE KAROTI NA HOHO ACHEMSHE. ALE NA MATUNDA. AHAKIKISHE HALI CARBS WALA FATTY FOODS.


WIKI YA PILI IWE NI YA MATUNDA TU NA FRESH JUICE. AHAKIKISHE ANAKULA NA MBOGA ZA MAJANI KWA WINGI.

WIKI YA TATU ANAWEZA KULA CARBS KIDOGO ILA MATUNDA NDO YAWE MENGI. ANYWE MAJI MENGI SANA HATA ZAIDI YA LITA NNE.

AKIMALIA HAPA SASA ANAWEZA RUDIA ILE YA WIKI YA KWANZA.

AFTER FOUR WEEKS AANZE KULA VYAKULA VYA KAWAIDA ILA ALE HALF PORTION YA ILE ALIYOZOEA.

NATUMAINI ITAMSAIDIA. IT WORKED FOR ME AS I LOST MORE THAN 10kg KWA MWEZI.

KIKUBWA NI COMMITMENT TU NA UVUMILIVU.


Thanks Brandon, nitamshauri ajaribu hii, maana ndo maana nilisema pale juu angalau iwe simple simple... ila nitamshauri afanye hii maana yeye kuacha kula vinono ni kasheshe sana.. ila nafikiri ni '' mtaka cha uvunguni........''
 
A simple diet which works like a charm......

Don't eat until you feel very hungry, then eat not more than just enough to take your hunger away

Mkuu chakula chochote kile au special foods??
 
thanks brandon, nitamshauri ajaribu hii, maana ndo maana nilisema pale juu angalau iwe simple simple... Ila nitamshauri afanye hii maana yeye kuacha kula vinono ni kasheshe sana.. Ila nafikiri ni '' mtaka cha uvunguni........''

yo welcome kituku. Mwambie ajitahidi,tena ale as much as anahitaji as long as haweki vyakula vya carbs au fatty. Am sure within three day atakuwa amebadilika.
 
Ndugu zangu, nina ndugu yangu ana umri wa miaka 30 na urefu wake ni kama ft 6.3 hivi, ila kwa hakika ni mnene ambao ameuchoka na unamkera sana, hasa tumbo... na kwa sasa ana kg 70 hivi, unene unamkera sana na ameshajaribu diet chache tofauti, hasa zile za kahawa, mbogamboga , matunda, yai na dried nyama... hii imemuwea ngumu kumalizia kwa sababu ya gharama yake na kupenda kula vyakula vya kiasili kabisa, kama wali chipsi , ugali, samaki

wana ndugu, hakuna simple diet ambayo naweza kumshauri(kutokea kwenu) ili aweze kupungua kidogo kidogo? si lazima ile ya faster sana? (ile yandani ya wiki mbili)
Mazoezi anafanya sometimes.
..

Mwambie afunge ndoa na demu kicheche, wiki mbili tu zitatosha , ataloose weight kuliko mgonjwa wa ukimwi. result guaranteed
 
Ndugu zangu, nina ndugu yangu ana umri wa miaka 30 na urefu wake ni kama ft 6.3 hivi, ila kwa hakika ni mnene ambao ameuchoka na unamkera sana, hasa tumbo... na kwa sasa ana kg 70 hivi, unene unamkera sana na ameshajaribu diet chache tofauti, hasa zile za kahawa, mbogamboga , matunda, yai na dried nyama... hii imemuwea ngumu kumalizia kwa sababu ya gharama yake na kupenda kula vyakula vya kiasili kabisa, kama wali chipsi , ugali, samaki

wana ndugu, hakuna simple diet ambayo naweza kumshauri(kutokea kwenu) ili aweze kupungua kidogo kidogo? si lazima ile ya faster sana? (ile yandani ya wiki mbili)
Mazoezi anafanya sometimes.
..


Haiwezekani hata siku moja kwa Umri huo 30,height ya 6.3 ft, kuwa na kilo 70 na KAMA NI KWELI BASI HUYO NI MGONJWA MWAMBIE HAONGEZE UZITO afya yake ipo matatani kwani FOMULA INASEMA Uzito gawa kwa kwa Height in Meters Square isizidi 27 na isipunguwe 23 sasa wako huyo ni 70Kg / 4 M ( 6.3 ft = 2 M) = 17.5 Amabayo kwa scale za wazungu huyo jmaa na ana KWASHAKOO!!
 
UMENIKUMBUSHA KWELI. TUKI CALCULATE BMR YAKE INAKUWA HIVI.

BMR=WEIGHT/HEIGHT(M)2

bmr=70/(1.92)2=19

ACCORDING TO WHO AND UNICEF JAMAA YUPO OK,UNLESS KAMA UMEKOSEA MEASUREMENTS ZAKE.

ANYWAY MWAMBIE AKUPE VIPIMO VYAKE THEN NIMFANYIE CALCULATION ILI NIJUE STANDARD WEIGHT ANAYOTAKIWA KUWA NAYO NI NGAPI. HIYO ITAMSAIDIA KUJUA ANATAKIWA APUNGUZE HOW MANY KG.
 
Haiwezekani hata siku moja kwa Umri huo 30,height ya 6.3 ft, kuwa na kilo 70 na KAMA NI KWELI BASI HUYO NI MGONJWA MWAMBIE HAONGEZE UZITO afya yake ipo matatani kwani FOMULA INASEMA Uzito gawa kwa kwa Height in Meters Square isizidi 27 na isipunguwe 23 sasa wako huyo ni 70Kg / 4 M ( 6.3 ft = 2 M) = 17.5 Amabayo kwa scale za wazungu huyo jmaa na ana KWASHAKOO!!

POINT OF CORRECTION MKUU,

BmI ISIPUNGUE 18.5 na isizidi 24.5. beyond hii then ndo wanasema kuwa ni overweight,then obesity type one,two,three.
 
Iwapo yeye anahisi kuwa yu mzito kuliko anavyotakiwa kuwa yaani anajihisi kulemewa na uzito wake basi ana tatizo la ziada. aende kwa tabibu, ila sio wale wa kutazamia bali wale wa kutibu. vinginevyo afunge -fasting- at least two dys a week. na inapendeza ikawa ni J'tatu na A'misi.
 
Ndugu zangu, nina ndugu yangu ana umri wa miaka 30 na urefu wake ni kama ft 6.3 hivi, ila kwa hakika ni mnene ambao ameuchoka na unamkera sana, hasa tumbo... na kwa sasa ana kg 70 hivi, unene unamkera sana na ameshajaribu diet chache tofauti, hasa zile za kahawa, mbogamboga , matunda, yai na dried nyama... hii imemuwea ngumu kumalizia kwa sababu ya gharama yake na kupenda kula vyakula vya kiasili kabisa, kama wali chipsi , ugali, samaki

wana ndugu, hakuna simple diet ambayo naweza kumshauri(kutokea kwenu) ili aweze kupungua kidogo kidogo? si lazima ile ya faster sana? (ile yandani ya wiki mbili)
Mazoezi anafanya sometimes.
..
aisee huyo ndugu yako mbona amekonda sana, yaani urefu futi 6.3 na uzito kg 70 mbona huyo ni mwembamba tu, labda kama umekosea katika hizo data.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom