Wakuu habari za mida
Mimi ni kijana wa 20' age .
Nimepatwa na ugonjwa [matatizo] ya usingizi uliopitiliza, nimekuwa mtu wa kulala Mara kwa Mara pasipo kuchoka, mawazo, depression zozote.
Nikikaa tu kwa kiti, sofa au sehemu yoyote tulivu [Mara chache kwenye kelele] baada ya dakika zisizozidi 2 au 1 kabisa huwa najikuta automatical nalala.
Kwa kweli nikiri limekuwa Ni tatizo kubwa na sugu Sana kwangu nimeanza kujichukia kabisa, familia, ndugu jamaa na maarafiki wamekuwa wakinisema Sana. Mimi mwenyewe nimekuwa nikijitahidi kuondoa tatizo ni mwaka na nusu Sasa nimeshindwa kuondoa tatizo.
Nimejaribu mazoezi na kujiwekea ratiba ya kulala lakini imeshindikana Nimekuja kwenu kuomba kwanza ushauri kwa aliyepitia Kama Mimi amewezaje kutoka kwe ili janga , na pia Kama Kuna dawa naomba msaada wenu [nitaotafuta]
Makabisa maoni na msaada wa mawazo.
Mimi ni kijana wa 20' age .
Nimepatwa na ugonjwa [matatizo] ya usingizi uliopitiliza, nimekuwa mtu wa kulala Mara kwa Mara pasipo kuchoka, mawazo, depression zozote.
Nikikaa tu kwa kiti, sofa au sehemu yoyote tulivu [Mara chache kwenye kelele] baada ya dakika zisizozidi 2 au 1 kabisa huwa najikuta automatical nalala.
Kwa kweli nikiri limekuwa Ni tatizo kubwa na sugu Sana kwangu nimeanza kujichukia kabisa, familia, ndugu jamaa na maarafiki wamekuwa wakinisema Sana. Mimi mwenyewe nimekuwa nikijitahidi kuondoa tatizo ni mwaka na nusu Sasa nimeshindwa kuondoa tatizo.
Nimejaribu mazoezi na kujiwekea ratiba ya kulala lakini imeshindikana Nimekuja kwenu kuomba kwanza ushauri kwa aliyepitia Kama Mimi amewezaje kutoka kwe ili janga , na pia Kama Kuna dawa naomba msaada wenu [nitaotafuta]
Makabisa maoni na msaada wa mawazo.