Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ugonjwaa wa Joint za miguu au mikono kuvimbaa na kupata maumivu..!!ni ugonjwa gan huo ufafanuzi kidogo ma doct
Arthritis ipi sasa?Wadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
Kapime uric acidWadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
Asante Sana ndugu yanguMkuu pole sana...!! Lakini hili suala ni gumu kupata Tiba permanent so unachoweza kupewa ni dawa za kupunguza maumivu na pia epuka vyakula vinavyozidisha hali hio. Pia kuna dawa kama Allupurinol hutumika kama una High level ya Uric acid ambazo hupelekea kuongeza maumivu... Pole sana piga Diclofenac au Ibuprofen fresh tu.
Uongezea na Ketoprofen Ya Kupakaaaa au Diclofenac ya kupakaaa.
SawaKapime uric acid
Ni goti, mabega na mkono wa kulia ndiyo una maumivu makali sanaArthritis ipi sasa?
Joint zipi zinasumbua na zinasumbua vp?.
Maana ziko arthritides nyingi
Rheumatoid arthritis?
Gout Arthritis?
Osteoarthritis?
Septic arthritis?
Spondyloarthritis?
Ni Rheumatoid arthritis mpendwaArthritis ipi sasa?
Joint zipi zinasumbua na zinasumbua vp?.
Maana ziko arthritides nyingi
Rheumatoid arthritis?
Gout Arthritis?
Osteoarthritis?
Septic arthritis?
Spondyloarthritis?
Inabdi achague sasaArthritis ipi sasa?
Joint zipi zinasumbua na zinasumbua vp?.
Maana ziko arthritides nyingi
Rheumatoid arthritis?
Gout Arthritis?
Osteoarthritis?
Septic arthritis?
Spondyloarthritis?
Pole sana mkuu..!! Punguza kulaa nyamaa sanaa ile nyekundu na pombe kama unatumia. Au kama ulishawahi tumia i hope umeachaAsante Sana ndugu yangu
Asante Ila anayeumwa Ni mama yangu siyo mimiPole sana mkuu..!! Punguza kulaa nyamaa sanaa ile nyekundu na pombe kama unatumia. Au kama ulishawahi tumia i hope umeacha
Nimeshamjibu Ni Rheumatoid ArthritisInabdi achague sasa
Nimeshamjibu Ni Rheumatoid Arthritis
tafuta prednisolone....na vitamin b complex problably inaweka kua rheumatoid arthritisWadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
tafuta prednisolone....na vitamin b complex problably inaweka kua rheumatoid arthritis
Asante Sana Sana ndugu yangu umenisaidia nitafuata ushauri wako. Ubarikiwe.tafuta prednisolone....na vitamin b complex problably inaweka kua rheumatoid arthritis
Ninao huu ugonjwa (rheumatoid) kitu ambacho nina uhakika nacho 100% ni kwamba bi mkubwa atakuwa anapitia maumivu makali sana, asikwambie mtu mifupa inauma mno haielezeki yale maumivu, hasa zile nyakati za flare...
Dah duniani kumbe kuna magonjwa mengi sana ya hatari.Ninao huu ugonjwa (rheumatoid) kitu ambacho nina uhakika nacho 100% ni kwamba bi mkubwa atakuwa anapitia maumivu makali sana, asikwambie mtu mifupa inauma mno haielezeki yale maumivu, hasa zile nyakati za flare...