kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Jamani naomba msaada mama yangu amepigwa na kikohozi ambacho akihishi Yaani ameshatumia dawa Lakini haponi.
Ameshatumia dawa za asili pamoja na dawa za kizungu Lakini wapi.
Sasa hivi anasema koo linauma Kama kichwa vile Yaani maumivu ya koo yako Kama vile maumivu ya kichwa.
Na anadai kuwa shingoni kwake kuna kitu ambacho kimezama akishuki wala akipandi
Mwaka jana walimpima wakamwambia ana matatizo kooni akachomwa shindano 8 Lakini hayo matatizo yeye alikuwa hayajui Kama ni matatizo gani kwasasa nahisi ndo haya sasa
Lakini tunajaribu kumwambia aende hospitalini anakataa kabisa hataki
Kama kuna mtu yeyote ambaye anajua dawa ya ugonjwa huu au au kujua ugonjwa huu please
Naomba msaada wake
Ameshatumia dawa za asili pamoja na dawa za kizungu Lakini wapi.
Sasa hivi anasema koo linauma Kama kichwa vile Yaani maumivu ya koo yako Kama vile maumivu ya kichwa.
Na anadai kuwa shingoni kwake kuna kitu ambacho kimezama akishuki wala akipandi
Mwaka jana walimpima wakamwambia ana matatizo kooni akachomwa shindano 8 Lakini hayo matatizo yeye alikuwa hayajui Kama ni matatizo gani kwasasa nahisi ndo haya sasa
Lakini tunajaribu kumwambia aende hospitalini anakataa kabisa hataki
Kama kuna mtu yeyote ambaye anajua dawa ya ugonjwa huu au au kujua ugonjwa huu please
Naomba msaada wake