Malakipesa
Member
- Sep 24, 2021
- 41
- 42
Mdogo wangu wa miaka 14 alikuwa anajisikia vibaya siku mbili hizi sa Leo hajaenda shule nikamcheki usoni akawa wanjano kwenye ule weupe wa macho nikashtuka kikamkimbiza hospital kwa uchunguzi zaidi wakampima maralia hana wakampima nutra sound wakasema tumboni kupo poa.
Mimi nikamwambia dk hii sio dalili za homa ya ugonjwa wa Ini dk akajib hapana hana ugonjonjwa wa ini anadalili za homa ya manjano wakasema nimpe juis ya miwa na ndizi za kupikwa kwa wingi.
Samahanini naombeni wataalamu wa hapa mnijuze huyu mdogo wangu anadalili ya ugonjwa upi? Mana hakuwahi kuwa na tatizo lolote lile hapo awali nawasilisha
Mimi nikamwambia dk hii sio dalili za homa ya ugonjwa wa Ini dk akajib hapana hana ugonjonjwa wa ini anadalili za homa ya manjano wakasema nimpe juis ya miwa na ndizi za kupikwa kwa wingi.
Samahanini naombeni wataalamu wa hapa mnijuze huyu mdogo wangu anadalili ya ugonjwa upi? Mana hakuwahi kuwa na tatizo lolote lile hapo awali nawasilisha