Michu99 Member Jul 3, 2021 17 7 Sep 18, 2021 #1 Habari za kazi wakuu nilikua nasumbuliwa na Matonsi na kikohozi...nilikua naomba msaada wa dawa nzuri ya kutumia
Habari za kazi wakuu nilikua nasumbuliwa na Matonsi na kikohozi...nilikua naomba msaada wa dawa nzuri ya kutumia
M Mwalimu wa Zamu Tz JF-Expert Member Jan 2, 2021 1,040 2,714 Sep 19, 2021 #2 Avamys Nasal spray Thank me later
COMOTANG JF-Expert Member Jan 6, 2021 2,131 1,808 Sep 19, 2021 #3 Michu99 said: Habari za kazi wakuu nilikua nasumbuliwa na Matonsi na kikohozi...nilikua naomba msaada wa dawa nzuri ya kutumia Click to expand... Nenda hospitali mkuu
Michu99 said: Habari za kazi wakuu nilikua nasumbuliwa na Matonsi na kikohozi...nilikua naomba msaada wa dawa nzuri ya kutumia Click to expand... Nenda hospitali mkuu
Kipanga boy JF-Expert Member May 28, 2017 1,409 1,212 Sep 20, 2021 #4 Nenda duka la DAWA inaitwa sediton utanishukuru ni dawa ya maji.
Michu99 Member Jul 3, 2021 17 7 Sep 20, 2021 Thread starter #5 Kipanga boy said: Nenda duka la DAWA inaitwa sediton utanishukuru ni dawa ya maji. Click to expand... Shukran mkuu
Kipanga boy said: Nenda duka la DAWA inaitwa sediton utanishukuru ni dawa ya maji. Click to expand... Shukran mkuu