Tamu chungu
Member
- Dec 20, 2015
- 85
- 64
Habari zenu waungwana,
Naomba kwa mwenye kufahamu dawa nzuri ya malaria sugu inapopatikana anielekeze na anitajie na jina la hiyo dawa mana huwa nasumbuliwa na Malaria ya mara kwa mara mpaka nakosa raha.
Kiukweli siwezi kukaa miezi miwili bila ya kuumwa Malaria.Nimejaribu kutumia DUOKOTEKSIN na ATEMISIN lakini wapi hali bado ni ile ile.
Hata kama kuna mtu anafahamu daa ya mitishamba nitashukuru kama atanielekeza inapopatikana na bei yake.
Shukrani sana kwa mtakaonisaidia
Naomba kwa mwenye kufahamu dawa nzuri ya malaria sugu inapopatikana anielekeze na anitajie na jina la hiyo dawa mana huwa nasumbuliwa na Malaria ya mara kwa mara mpaka nakosa raha.
Kiukweli siwezi kukaa miezi miwili bila ya kuumwa Malaria.Nimejaribu kutumia DUOKOTEKSIN na ATEMISIN lakini wapi hali bado ni ile ile.
Hata kama kuna mtu anafahamu daa ya mitishamba nitashukuru kama atanielekeza inapopatikana na bei yake.
Shukrani sana kwa mtakaonisaidia