Harrykany
JF-Expert Member
- May 10, 2019
- 615
- 662
Wakuu me so mjuzi wala, mzoefu wa computer na kutumia natumiaga kucheki movie, Na game, sasa kuna jamaa anauza computer aina ya Dell, lakini nilivo icheki ndani inatumia Window 7 XP, afu aiwezi kusoma CD Za DVD, Na mlango wake Ni mfumo, wa zamani hata kubadirisha uweke unao weza kusoma, DVD haiingiriani, kingine inaganda sana afu ipo slow sana.
Swali langu vipi kunauwezekano wa kuiwekea vipi vingine kama RAM Na hard disk kubwa, hili iwe vizuri, zaidi. Na je vipi kuhusu Window hiyo kuna uwezekano wa kuchange nikapiga ata 7 ya kawaida?
Vp kuhusu kuweka game kama FIFA 2020 au GTA 4 Na kuendelea?
Au inatakiwa niongezee vitu gani? Hili nieenjoy nayo kwa matumizi ya home tu,
Asante kwa kusoma, naomba maoni yenu
Swali langu vipi kunauwezekano wa kuiwekea vipi vingine kama RAM Na hard disk kubwa, hili iwe vizuri, zaidi. Na je vipi kuhusu Window hiyo kuna uwezekano wa kuchange nikapiga ata 7 ya kawaida?
Vp kuhusu kuweka game kama FIFA 2020 au GTA 4 Na kuendelea?
Au inatakiwa niongezee vitu gani? Hili nieenjoy nayo kwa matumizi ya home tu,
Asante kwa kusoma, naomba maoni yenu