weka matokeo pleaseKhabari wana Jf, naomba msaada wa kujua chuo kinachoweza kuchukua mwanafunzi aliehitimu 4m6 mwaka jana kupata III.16 Kwa pcm
Haujataja ngazi ipi bachelor au diploma?Khabari wana Jf, naomba msaada wa kujua chuo kinachoweza kuchukua mwanafunzi aliehitimu 4m6 mwaka jana kupata III.16 Kwa pcm
Kama huna DD bachelor utaisikia kwenye bomba mkuuBachelor
Bachelor hawezi kwenda mkuu kwa kuwa hana D 2 hapo na mwaka jana walitumia vigezo vya mwaka 2016 so kuweza kupata bachelor kwa 3 ya 16 ni kitu ambacho hakiwezekani labda angekuwa na 3 ya 14 na tena apate credit 2 za D na F moja yaani D,D,F. Nakushauri tu labda aanzie diploma kisha aunge bachelor.Bachelor
Bachelor hawezi kwenda mkuu kwa kuwa hana D 2 hapo na mwaka jana walitumia vigezo vya mwaka 2016 so kuweza kupata bachelor kwa 3 ya 16 ni kitu ambacho hakiwezekani labda angekuwa na 3 ya 14 na tena apate credit 2 za D na F moja yaani D,D,F. Nakushauri tu labda aanzie diploma kisha aunge bachelor.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Bachelor hawezi kwenda mkuu kwa kuwa hana D 2 hapo na mwaka jana walitumia vigezo vya mwaka 2016 so kuweza kupata bachelor kwa 3 ya 16 ni kitu ambacho hakiwezekani labda angekuwa na 3 ya 14 na tena apate credit 2 za D na F moja yaani D,D,F. Nakushauri tu labda aanzie diploma kisha aunge bachelor.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Kwa sasa hamna utofauti tangia mama ndalichako alivyofutailia mbali ADVANCED DIPLOMA na kufanya ORDINARY DIPLOMA KUSOMWA na both form 6 leavers na form 4 leavers .Kwa mtu Aliyemaliza form 6 anakuwa na Utofauti gani na mtu wa form 4 wote wakiwa diploma?
Sawa mkuuKwa sasa hamna utofauti tangia mama ndalichako alivyofutailia mbali ADVANCED DIPLOMA na kufanya ORDINARY DIPLOMA KUSOMWA na both form 6 leavers na form 4 leavers .
So kama ataanza diploma ajue atapiga ordinary diploma kwa miaka 3 then atachagua yeye apige kazi kwanza ndiyo aende bachelor au aunge direct bachelor.
Kwa mwaka 2015 kurudi nyuma kama ilikuwa wewe ni form 6 leaver na umekosa vigezo vya kwenda bachelor ulikuwa unaweza kusoma ADVANCED DIPLOMA 1 year kisha ukipata GPA stahiki unaunga bachelor now wameifuta. ila elimu yake ya 6 inaweza kumsaidia kwenye kumpunguzia mzigo kwa kuwa yeye anakuwa mbele ya wenzake modules nyingi za diploma ni zile zile za advace so atakuwa vizuri kwenye GPA kama akikazana.
But mkuu kwa nini asiende kusoma FOUNDATION COURSE mwaka mmoja kisha akaenda bachelor? Though sijui unajiungaje but najua vigezo vyake kwa advance ni E 1 na S 1 1.5 points.
NashukuruKwa sasa hamna utofauti tangia mama ndalichako alivyofutailia mbali ADVANCED DIPLOMA na kufanya ORDINARY DIPLOMA KUSOMWA na both form 6 leavers na form 4 leavers .
So kama ataanza diploma ajue atapiga ordinary diploma kwa miaka 3 then atachagua yeye apige kazi kwanza ndiyo aende bachelor au aunge direct bachelor.
Kwa mwaka 2015 kurudi nyuma kama ilikuwa wewe ni form 6 leaver na umekosa vigezo vya kwenda bachelor ulikuwa unaweza kusoma ADVANCED DIPLOMA 1 year kisha ukipata GPA stahiki unaunga bachelor now wameifuta. ila elimu yake ya 6 inaweza kumsaidia kwenye kumpunguzia mzigo kwa kuwa yeye anakuwa mbele ya wenzake modules nyingi za diploma ni zile zile za advace so atakuwa vizuri kwenye GPA kama akikazana.
But mkuu kwa nini asiende kusoma FOUNDATION COURSE mwaka mmoja kisha akaenda bachelor? Though sijui unajiungaje but najua vigezo vyake kwa advance ni E 1 na S 1 1.5 points.
Pamoja mkuuNasu
Nashukuru
Umetoa msaada mkubwa sana kwa kweli ubarikiweKwa sasa hamna utofauti tangia mama ndalichako alivyofutailia mbali ADVANCED DIPLOMA na kufanya ORDINARY DIPLOMA KUSOMWA na both form 6 leavers na form 4 leavers .
So kama ataanza diploma ajue atapiga ordinary diploma kwa miaka 3 then atachagua yeye apige kazi kwanza ndiyo aende bachelor au aunge direct bachelor.
Kwa mwaka 2015 kurudi nyuma kama ilikuwa wewe ni form 6 leaver na umekosa vigezo vya kwenda bachelor ulikuwa unaweza kusoma ADVANCED DIPLOMA 1 year kisha ukipata GPA stahiki unaunga bachelor now wameifuta. ila elimu yake ya 6 inaweza kumsaidia kwenye kumpunguzia mzigo kwa kuwa yeye anakuwa mbele ya wenzake modules nyingi za diploma ni zile zile za advace so atakuwa vizuri kwenye GPA kama akikazana.
But mkuu kwa nini asiende kusoma FOUNDATION COURSE mwaka mmoja kisha akaenda bachelor? Though sijui unajiungaje but najua vigezo vyake kwa advance ni E 1 na S 1 1.5 points.
mbali ya kuchanganya mambo mengi, nichangie moja tu, nakumbuka kama vila Mama Ndalichako aliifuta ile Foundation Course.Kwa sasa hamna utofauti tangia mama ndalichako alivyofutailia mbali ADVANCED DIPLOMA na kufanya ORDINARY DIPLOMA KUSOMWA na both form 6 leavers na form 4 leavers .
So kama ataanza diploma ajue atapiga ordinary diploma kwa miaka 3 then atachagua yeye apige kazi kwanza ndiyo aende bachelor au aunge direct bachelor.
Kwa mwaka 2015 kurudi nyuma kama ilikuwa wewe ni form 6 leaver na umekosa vigezo vya kwenda bachelor ulikuwa unaweza kusoma ADVANCED DIPLOMA 1 year kisha ukipata GPA stahiki unaunga bachelor now wameifuta. ila elimu yake ya 6 inaweza kumsaidia kwenye kumpunguzia mzigo kwa kuwa yeye anakuwa mbele ya wenzake modules nyingi za diploma ni zile zile za advace so atakuwa vizuri kwenye GPA kama akikazana.
But mkuu kwa nini asiende kusoma FOUNDATION COURSE mwaka mmoja kisha akaenda bachelor? Though sijui unajiungaje but najua vigezo vyake kwa advance ni E 1 na S 1 1.5 points.
Alama zako Kwa dv hiyo sidhani km zinafika point 4 km vigezo vya TCU vinavyotaka,nakushauri omba Diploma ya ualimu kabla ya tarehe 8 kupitia NACTEaliehitimu