Msaada wa chuo na course

MILES27

New Member
Jan 17, 2022
4
0
Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini
Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri

Pia huwa Nina interest katika IT napo pia naomba mawazo yenu kulingana na matokeo nilivyotaja hapo juu
🙏
 
Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini
Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri

Pia huwa Nina interest katika IT napo pia naomba mawazo yenu kulingana na matokeo nilivyotaja hapo juu
Nasubiri mirejesho
 
Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini
Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri

Pia huwa Nina interest katika IT napo pia naomba mawazo yenu kulingana na matokeo nilivyotaja hapo juu
Anza na kujiuliza we ungependa kufanya kazi gani? Then watu wanaofanya kazi hiyo wamesoma nini? Kisha hizo kozi walizosoma zinatolewa na vyuo gani? Kwa kuanzia tembelea www.nacte.go.tz na www.tcu.go.tz unaweza kupata taarifa za vyu na courses zinazofundishwa kupiti guide books.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom