Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya sayansi mpaka victoria kijitonyama
sifa za chumba ni:-
1. Iwe chumba na sebule self contained na jiko, maji na umeme.
2. Ndani ya fensi (sio lazima sana)
3. Pawe na uwezo wa kufika gari mpaka kwenye nyumba
4. Karibu na barabara na usalama uwepo
5. Bei kuanzia 150,000/= mpaka 200,000/=.
Mwenye kujua chochote ani PM tutawasiliana. Hata sehem ingine yeyote ya barabara hiyo ili mradi iwe nzuri na karibu na barabara.
sifa za chumba ni:-
1. Iwe chumba na sebule self contained na jiko, maji na umeme.
2. Ndani ya fensi (sio lazima sana)
3. Pawe na uwezo wa kufika gari mpaka kwenye nyumba
4. Karibu na barabara na usalama uwepo
5. Bei kuanzia 150,000/= mpaka 200,000/=.
Mwenye kujua chochote ani PM tutawasiliana. Hata sehem ingine yeyote ya barabara hiyo ili mradi iwe nzuri na karibu na barabara.