mtageaugustine
Member
- Jan 12, 2015
- 67
- 59
Nahitaji msaada wa Act, amendment, au Case law ambayo inatoa qualifications za Daktari ambaye anaruhusiwa kujaza pf3 and/or postmoterm. Maana huku nilipo Clinical officers wengi ndiyo wanaojaza pf3 na kisheria hawaruhusiwi. Kwa sasa Daktari mwenye Cheo kuanzia AMO na kuendelea ndiyo wanaruhusiwa lakini sijajua which law, amendment au Case law ipi imetoa hizo qualifications. Pleese naombeni msaada.