Phd Hewa JF-Expert Member Oct 3, 2016 572 466 Dec 24, 2016 #1 Habari Zenu Kama kichwa cha habari kilivyo nimejitahidi ila nimechemka Kinachonishangaza ni Kwamba Line Zinge Zina Support 3g Lakini TIGO hai support 3g ina andika E.
Habari Zenu Kama kichwa cha habari kilivyo nimejitahidi ila nimechemka Kinachonishangaza ni Kwamba Line Zinge Zina Support 3g Lakini TIGO hai support 3g ina andika E.
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,689 39,755 Dec 24, 2016 #2 hapo ulipo tigo wana 3g? jaribu kuiforce ikae 3g only
Phd Hewa JF-Expert Member Oct 3, 2016 572 466 Dec 24, 2016 Thread starter #3 Chief-Mkwawa said: hapo ulipo tigo wana 3g? jaribu kuiforce ikae 3g only Click to expand... Ndiyo 3g ipo
Chief-Mkwawa said: hapo ulipo tigo wana 3g? jaribu kuiforce ikae 3g only Click to expand... Ndiyo 3g ipo
Phd Hewa JF-Expert Member Oct 3, 2016 572 466 Dec 24, 2016 Thread starter #4 Nikiweka 3g only Network Inahama kabisa.
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,689 39,755 Dec 24, 2016 #5 Phd Hewa said: Nikiweka 3g only Network Inahama kabisa. Click to expand... jaribu line nyengine ya tigo na hio ya tigo eka kwenye simu nyengine ya 3g
Phd Hewa said: Nikiweka 3g only Network Inahama kabisa. Click to expand... jaribu line nyengine ya tigo na hio ya tigo eka kwenye simu nyengine ya 3g
Phd Hewa JF-Expert Member Oct 3, 2016 572 466 Dec 24, 2016 Thread starter #6 Chief-Mkwawa said: jaribu line nyengine ya tigo na hio ya tigo eka kwenye simu nyengine ya 3g Click to expand... Poa
Chief-Mkwawa said: jaribu line nyengine ya tigo na hio ya tigo eka kwenye simu nyengine ya 3g Click to expand... Poa