Msaada uwekaji contents kwenye uploaded template ya blog

achengula

JF-Expert Member
Jul 30, 2009
369
62
Ninablog yangu iliyokuwa inatumia template ya google lakini nilikuwa nashindwa kuweka heading zenye dropdown list mwanzoni mwa blog. Hivyo nimedownload template nikaupload kisha nikaedit hizo heading na droplist ziendane na kile ninacho kitaka kupitia HTML code (Simtaalamu wa ke edit codes, nimejaribu na kufanikiwa kwa kiwango hicho). Sasa tatizo nililolipata sioni shemu ya kuweka contents kwenye hizo heading nilizotengeneza. Nikienda kwenye layout ya google pia sioni sehemu ya kuweka naendelea kuona tu zile za zamani. Msaada nafanyaje ili niweke contents, link ya blog hii hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA
 
habari mkuu.. kwa mimi nilocanya hivi...

kwanza posts zangu zote nimeziwekea label tofauti accourding to content yenyewe inazungumzia nini mfano ukipost ng'ombe basi tengeneza label yake ambapo post zote utazopost zinazohusiana na ng'ombe basi utazilebo na uzuri wa kufanya hivo ni kwamba uta pata Link ya Label ya posts zako zote ulizowahi kupost kuhusu ng'ombe.. hiyo link unaichukua then unaenda kwenye html edit kisha search moja ya dropdown menu Mfano (NG'OMBE) hiyo nimeiona kwako.. sasa hapo tafuta alama ya # kisha replace alama ga # kwa ile link ya label uliyokwisha itengeneza hapo mwanzo kisha save template...ikiandika successifully nenda kajaribu kuibonya ile drop menyu ya neno NGOMBE na kisha angalia je itakupeleka kwenye posts za ngombe ulizowahi kupost?

ni hayo mkuu.. sorry for my bad swahili
 
Ok nashukuru sana mkuu ngoja nijaribu nitakujulisha, link ya label naipata wapi hiyo? Kiswahili kimeeleweka mkuu nikashindwa itabidi nikutafutie hela ya vocha. Hapo pa kureplace alama ga # sijakupata pia. Alama ya # na ng'ombe zilipo nazijua maana niliedit mwenyewe. Sijakupata na replace kipi kwa kipi? Asante tena kwa msaada wako
 
habari mkuu.. kwa mimi nilocanya hivi...

kwanza posts zangu zote nimeziwekea label tofauti accourding to content yenyewe inazungumzia nini mfano ukipost ng'ombe basi tengeneza label yake ambapo post zote utazopost zinazohusiana na ng'ombe basi utazilebo na uzuri wa kufanya hivo ni kwamba uta pata Link ya Label ya posts zako zote ulizowahi kupost kuhusu ng'ombe.. hiyo link unaichukua then unaenda kwenye html edit kisha search moja ya dropdown menu Mfano (NG'OMBE) hiyo nimeiona kwako.. sasa hapo tafuta alama ya # kisha replace alama ga # kwa ile link ya label uliyokwisha itengeneza hapo mwanzo kisha save template...ikiandika successifully nenda kajaribu kuibonya ile drop menyu ya neno NGOMBE na kisha angalia je itakupeleka kwenye posts za ngombe ulizowahi kupost?

ni hayo mkuu.. sorry for my bad swahili


Nakushukuru mkuu nimefanikiwa nilichokuwa nahitaji kwa kutumia maelezo yako plus google. Nilikuwa nahitaji pages za blog ndo zionekane kwenye drop list ya menu bar na si posts za kila siku. Na hilo nimefanikiwa. Thanks.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom