Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala

Punguzeni kunywa soda...kunywa maji...fanya mazoezi......acha kula ovyo...kula vyakula vinavyostahili....mkuu acha soda kabisa....
Kwamba soda inafanyeje?
Na unavyosema vyakuka vinavyofaa ni vipi hivyo na visivyofaa ni vipi???
 
Inaonekana uko stressed, toa mawazo ya kulala uume kama unampenda mkeo utasimama na kufanya kawaida. Kikubwa toa wasi wasi wako. Wewe na mkeo wote mtulie, kama unadaiwa au huna hela toa hayo mawazo.
Mkuu unajua deni hasa kama la kudaiwa ada?
 
Kuhusu BMI

BMI kuna instance inakua misleading as waweza kuta mtu ana kilo zinazozidi urefu ila yeye ni mfanya mazoezi ya kunyanyua uzito hence BMI itasema a guy is unhealthy kisa urefu na uzito ila inakua siyo kweli.

Kuhusu kulala kwa uume.

Kupitia comments jamaa anasema ishu ilikua ya kitambo kwa kushindwa kwenda raundi ya pili ila sasa hivi hali imezidi.

Unashindwa kwenda raundi ya pili je hii moja ilikua inakuchukua muda gani kumaliza?

Watoto wawili inamaanisha uko na shemeji kwa zaidi ya miaka 3 ambayo coincidentally ndiyo miaka ambayo mvuto baina ya wanandoa hupungua.

Hichi kipindi ngono hua haina moto kama kipindi cha nyuma.

Kama unajihisi hivyo na unaona mabadiliko kwa mkeo usidhani ni shida yako peke yako wengi wako katika hiyo hali na ndoa zingine hufa kipindi hichi.

Usisikilize maneno ya 'Asubuhi hua inasimama?' ukajijudge kutokana na asubuhi kusimama, hiyo siyo kanuni kuna watu wengi mno asubuhi wanaamka bila kusimamisha.

Katika comments umekiri kwamba una hofu. So what do you say? Tumalize hilo tatizo la hofu au we unaonaje?
Mkuu uliyasema ni kweli kabisa ukiishi na mwanamke zaidi ya 4 years hata kufanya mapenzi kunapungua sana,kwenda bao 2 tu ni kwa nadra sana mara nyingi ni bao moja habari imeisha.Nakumbuka mie kabla hatujaoana asee nilikuwa napeleka moto hadi bao 5 hadi 4 hamu ipo juu siku hizi kwenda 2 ni mtihani nikaja kugundua tatizo ni kumzoea mtu
 
Kitaalam Kuna ile Hali ya damu kuganda fasta,
Yaan ukidindisha afu ukakatisha, damu inang'ang'ania Kwenye kuta za mirija yanuume na kuganda.

Damu Hii inaziba mzunguko wa damu nyngn kuja na kuzunguka Kwenye uume mzima ili uweze kumantain erection.

Hivyo kufanya mzunguko mdogo wa damu Kwenye uume kua mdogo. Hivyo erection kua ya tabu Sana.

Na hata ukibahatisha ikasimama Basi huwezi kumantain kwa MDA mrefu.

Hizi dawa jamii ya sildenafil citrate (jamii ya ERECTRO, Viagra,Njoi n.k) hufaya kuidilute damu kwa MDA flani ili iwe nyepesi hivyo kuongeza mzunguko wa damu Kwenye vikuta vyembamba pembe zote za uume.

Kwaiyo,
Unaweza kuta akimeza na akaweza kuzibua mirija na kumantain, anaweza kuendelea naturally kama kawaida.
Nimejifunza kitu hapa ...barikiwa mkuu
 
Kuna tatizo lolote lililoathiri saikologia yako siku za nyuma hapo?
Hii Hali ilishanitokea kwa muda wa mwezi na nusu Lakini nilikuwa na changamoto flani nikawa stressed
Hebu jichunguze kwenye Hilo kwanza then Utoe mrejesho

Lingine kama wewe umemdanganya mdada wa watu kuwa utamuoa
Alafu ulivyokula tu ukaridhika then ukakimbia ujue amekushughulikia
Cheki na Hilo pia

Nitakuelekeza Cha kufanya ila uache kutongoza kwa kutoa ahadi zisizotekelezeka
 
Ilinitokea Mimi pia.kuna wakati wife alizingua nikamlamba vibao ugomvi ukawa mkubwa kiasi Cha kumrudisha kwa wazazi wake kwa muda was kiezi mitano Kisha akarudi, alivyorudi tendo lilikuwa linafanyika fresh ila siku zilivyokuwa zinaenda Mara hamu ikawa hakuna, akawa hanivutii,. Siku yenyewe Sasa ya mwanzo ya tatizo ile namuomba mzigo akakataa nikabembekeza akakataa kabisa nikaona huyu hataki kweli ok nikamwacha, zikaoita dakika Kama 20 akaniita njoo, Sasa kwa sababu Mimi hisia zishahama tayari nikashindwa kusimami a vema yaani ikawa Kama mtoa mada,wife na yeye alivyo bwege akaanza masimango hapo hapo, Mara unanichafua tu, Mara ushakojoa dakika moja, Mara unatetemeka, Mara huna nguvu za kiume, Mara usinisumbue tena.aisee kuanzia hapo bonge la hofu lilinivaa sijawahi kuona, nilipoteza hamu nae kabisa.zikapita wiki mbili nikaomba Hali ikawa higo hiyo nikaamua kuchepuka ajabu nikalamba mtu mabao manne na yote nikimtoshekeza na yeye. hapo nikanotice huyu wife ndo jipu.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Ilinitokea Mimi pia.kuna wakati wife alizingua nikamlamba vibao ugomvi ukawa mkubwa kiasi Cha kumrudisha kwa wazazi wake kwa muda was kiezi mitano Kisha akarudi, alivyorudi tendo lilikuwa linafanyika fresh ila siku zilivyokuwa zinaenda Mara hamu ikawa hakuna, akawa hanivutii,. Siku yenyewe Sasa ya mwanzo ya tatizo ile namuomba mzigo akakataa nikabembekeza akakataa kabisa nikaona huyu hataki kweli ok nikamwacha, zikaoita dakika Kama 20 akaniita njoo, Sasa kwa sababu Mimi hisia zishahama tayari nikashindwa kusimami a vema yaani ikawa Kama mtoa mada,wife na yeye alivyo bwege akaanza masimango hapo hapo, Mara unanichafua tu, Mara ushakojoa dakika moja, Mara unatetemeka, Mara huna nguvu za kiume, Mara usinisumbue tena.aisee kuanzia hapo bonge la hofu lilinivaa sijawahi kuona, nilipoteza hamu nae kabisa.zikapita wiki mbili nikaomba Hali ikawa higo hiyo nikaamua kuchepuka ajabu nikalamba mtu mabao manne na yote nikimtoshekeza na yeye. hapo nikanotice huyu wife ndo jipu.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Baada ya hapo iliendeleaje kwa wife
 
Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu,

Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.
Inawezekana kabla ya kuoa, mkeo alikuwa Geisha
 
Back
Top Bottom