Mbanti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 943
- 1,727
Oooh kumbe hii unaeza kunywa yeyote just kuboost ili uregulate erection to its normal state.......Kitaalam Kuna ile Hali ya damu kuganda fasta,
Yaan ukidindisha afu ukakatisha, damu inang'ang'ania Kwenye kuta za mirija yanuume na kuganda.
Damu Hii inaziba mzunguko wa damu nyngn kuja na kuzunguka Kwenye uume mzima ili uweze kumantain erection.
Hivyo kufanya mzunguko mdogo wa damu Kwenye uume kua mdogo. Hivyo erection kua ya tabu Sana.
Na hata ukibahatisha ikasimama Basi huwezi kumantain kwa MDA mrefu.
Hizi dawa jamii ya sildenafil citrate (jamii ya ERECTRO, Viagra,Njoi n.k) hufaya kuidilute damu kwa MDA flani ili iwe nyepesi hivyo kuongeza mzunguko wa damu Kwenye vikuta vyembamba pembe zote za uume.
Kwaiyo,
Unaweza kuta akimeza na akaweza kuzibua mirija na kumantain, anaweza kuendelea naturally kama kawaida.