Hapana sjawahi mfanyia mwanamke yoyote ubaya..labda ubaya Kama upi unaouzungumziaPole sana, itakua kuna mwanamke ulishamfanyia ubaya, akamshtakia Mungu... malipo hapa hapa...
Niliwah kutana na kijana mmoja alikua hvo alikuja kupina baada ya kuhangaika nae Sana miaka miwili,kumbe alimtenda mwanamke so akamfanyiziaPole sana, itakua kuna mwanamke ulishamfanyia ubaya, akamshtakia Mungu... malipo hapa hapa...
Hapana sjawahi mftanyia mwanamke yoyote ubaya..labda ubaya Kama upi unaouzungumzia
Hivi ikitokea labda kwa wiki sku kama mbil inatokea haisimam asubuhi...ila sku zingine inasimama ni normal?Asubuhi unasimama?
Ni Normal kabisa.Hivi ikitokea labda kwa wiki sku kama mbil inatokea haisimam asbh...ila sku zingine inasimama.....ni normal???
Yeah..nikistukaga mida kama ya tisa nakuta imekakamaaaaa......then ndo mapaka asubuhi au ndo sometimes asubuhi unakuta ipo normal ila saa tisa kumi ilkuwa imesimamaNi Normal kabisa.
Hii ni kupanda na kushuka kwa hormone ya kiume. Mara nyingi ukilala vzr,ukiwa Umeshiba yaan ukarelax Lazima mzigo ukaze asubuhi au hata usiku Mara nyingi...
Hilo hua linatokea kwa wengi lakini ni hofu tu na stress za hapa na pale hasa unapohitaji Kisha ukaweka hofu kua ntaweza kweli na Leo ? Hpo lazma net zipoteaneHapana uume ulikua strong Ila Kuna nyakati zilikua inatokea zakushindwa uume kulala
Umemaliza kila kitu! Watu wanatapeliwa bure, Dawa ni HIIHilo sio tatizo,
Ondoa hofu kula vizur, kunywa maji ya kutosha kisha jiamini
Yap...Yeah..nikistukaga mida kama ya tisa nakuta imekakamaaaaa......then ndo mapaka asubuhi au ndo sometimes asubuhi unakuta ipo normal ila saa tisa kumi ilkuwa imesimama
Nimekupata vyema bossYap...
Njoo inbox,hutajutia,ni kwa ushauri tu wala sihitaji hela yako...Mawazo hasa nnayo yakulala uume maana tunapokua ktk maandalizi uume unasimama Ila sio strong kabisa yaan ikifika hatuna kuanza tendo Ile napeleka uume ukeni kabla haujafika kugusa uke Basi uume unalala
Mshauri tu hapahapa boss.na wengine wapate maarifaNjoo inbox,hutajutia,ni kwa ushauri tu wala sihitaji hela yako...
Hivi hii libido....kusimamisha tu ndo unaeza sema ni libido....au kuwa hapo ukahisi unatamani kuoata mbunye ukabunyua?Una upungufu wa libido?
Au una stress
Au unadalili za kisukari (kapime)
Ni mengi Sana ,
Kanaweza ndo kameleteleza hayo yote eeeeee??Ulishawahi kufanya kamchezo kanaitwa punyeto mkuu.!!!?