Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 290
- Thread starter
- #41
Ahaaa ahsante chief...itakuwa mawazo maana Nina mawazoKunywa maji yakutosha !.
Sio tatizo unless uwe unamawazo.
Ahaaa ahsante chief...itakuwa mawazo maana Nina mawazoKunywa maji yakutosha !.
Sio tatizo unless uwe unamawazo.
Ahsante kwa ushauriPunguza mawazo,kula vyakula vya asili bila kisahau mazoezi.
Axhen utani wa ngumi bas
Upeleke gym....
Kama ulipokuwa unapiga Punyeto hiyo ndio sababu ya wewe unapo amka asubuhi Uume wako hausimami nione mimi nipate kukutibia una matatizo ya nguvu za kiume. What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi MkavuHabar madaktar,,,,Kama mada tajwa hapo juu ,,Nina zaidi ya cku 5 naamka asubuhi uume hausimami tafaut na awali hata kama Nina mkojo,,,je hili ni tatzo au ni hali ya kawaida....naomba kujuzwa
Pole mkuu,,,na samahanMkuu jaribu kuandika kama mtu anayejielewa maana wengine nyoyo zinatibuka mpaka tunaona uvivu kusoma post.Axhen ndio nini?
Punguza kutumia Viagra kjn...Habari madaktari kama mada tajwa hapo juu nina zaidi ya siku 5 naamka asubuhi uume hausimami tafauti na awali hata kama nina mkojo je hili ni tatizo au ni hali ya kawaida naomba kujuzwa.
Ndio nn mkuu usikute natumia kitu ckujiaPunguza kutumia Viagra kjn...
Unataka kuupigia Mswaki?
Ndio Mkuu ,,,,kwa nn?
Nlipata ushauri wa kufanya mazoez na kunywa maji mengi na kupnguza mawazo ...nmetekele hayo ,,,sasa hivi unasimama Leo alimanusura nichene boxer yaan unasimama kama kinyerezi phase 2I wish tubadilishane, mm unasimama daily km unasearch signal mpk usumbufu