Digital Marketer
Senior Member
- May 1, 2019
- 112
- 149
Za mida wakuu, nimekua napata sana utata kuhusu Vibali vya ujenzi na bei zake, kama kuna mtu anafaham Naomba msaada hususani maeneo ya Kigamboni. Wtu wanasema bei ambazo sizielewi.
Unaonaje kama Ukifika Ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ili uweze kupewa majibu na Maafisa Ardhi na Mipango miji. kuliko humu ambapo hautapata majibu rasmi ya wataalamu wa eneo hiloZa mida wakuu, nimekua napata sana utata kuhusu Vibali vya ujenzi na bei zake, kama kuna mtu anafaham Naomba msaada hususani maeneo ya Kigamboni. Wtu wanasema bei ambazo sizielewi.