kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 621
Kichwa cha habari chausika,
Mm nimjasilia Mali Mdogo nawaza kupanua soko LA bidhaa za nafaka,dagaa na mbogamboga kwenda nje hususana USA na CHI ZA ULAYA.
Naomba kujuzwa taraibu na mambo gani yanatakiwa ili kufanikisha hili.
NB; nitakuwa natuma kwa njia ya EMS au Posta.
Karibuni.
Mm nimjasilia Mali Mdogo nawaza kupanua soko LA bidhaa za nafaka,dagaa na mbogamboga kwenda nje hususana USA na CHI ZA ULAYA.
Naomba kujuzwa taraibu na mambo gani yanatakiwa ili kufanikisha hili.
NB; nitakuwa natuma kwa njia ya EMS au Posta.
Karibuni.