uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Ni kina nani hao???sidhani kuna tajiri yeyote ninaye ona ana nguvu hapa Tanzania ya kuweza kuzuia maendeleo....Ukipiga pesa kwenye dili zako alafu uwekeze kwenye kiwanda sidhani kama kuna mtu anayeweza kukuzuia
Hiyo ni kwa uchache ndugu..tunataka tanzania kwa ujumla iwe yenye viwanda yani kuwe na easy entry kwenye hiyo sector ndugu.