Guus
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,131
- 821
Salamu kwenu Wanajamvi,
Wakuu, mwanajamvi nimejikuta namaliza masaa bila kupata wazo la maana, hivyo nimeona si vibaya tusaidiane!
Nipo mahala katika kusanyiko fulani. Siku moja kabla ya mwisho wa hili kusanyiko (Ijumaa ya tarehe 5/12) mtu (atakayehitaji) atapewa muda wa kufanya tukio linaloitambulisha nchi yake (iwe kuimba/kucheza/kuzungumza n.k.). Sasa wanawane, mimi nahitaji kufanya jambo, lakini najiuliza ni nini hasa utambulisho wa Tanzania!?
Mwenye wazo naomba anipatie (sio lazima kufanya kitu, lakini napenda kufanya jambo fulani).
NB: Ingawa tunatibuana na kina ESCROW, lakini Tanzania ni yetu (tutafanyaje sasa na nchi ndiyo yetu)
Wakuu, mwanajamvi nimejikuta namaliza masaa bila kupata wazo la maana, hivyo nimeona si vibaya tusaidiane!
Nipo mahala katika kusanyiko fulani. Siku moja kabla ya mwisho wa hili kusanyiko (Ijumaa ya tarehe 5/12) mtu (atakayehitaji) atapewa muda wa kufanya tukio linaloitambulisha nchi yake (iwe kuimba/kucheza/kuzungumza n.k.). Sasa wanawane, mimi nahitaji kufanya jambo, lakini najiuliza ni nini hasa utambulisho wa Tanzania!?
Mwenye wazo naomba anipatie (sio lazima kufanya kitu, lakini napenda kufanya jambo fulani).
NB: Ingawa tunatibuana na kina ESCROW, lakini Tanzania ni yetu (tutafanyaje sasa na nchi ndiyo yetu)