Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 9,995
- 34,607
Wadau ningependa kujulishwa namna bora ya kufunga vifaa vya solar kwa matumizi ya kawaida(Taa 1, Radio 1, Mashine 1 ya kunyolea nywele, Simu1).
Nina Solar Panel ya 40WATTS, Inverter ya 150WATTS, Solar Power control, Betri ndogo ya solar(ya maji) 20N.
System nzima ya Installation imefanyika na kuweza kuwasha vitu vyote hivyo but baada ya muda mfupi sana(sio zaidi ya dk10) mashine ya kunyolea nywele inashindwa kabisa kufanyakazi na betri level ya solar kuwa ya chini kabisa. Hii ni wakati wa mchana, na giza likiingia tu hiyo mashine ya kunyolea ndio haiwaki kabisa.
Nini cha kufanya ili mfumo wangu wa solar iweze kukidhi matumizi yangu.
Wadau ninaomba mawazo yenu ya kitaalamu, maana mahali nilipo hakuna Umeme wa TANESCO na Solar ndio njia mbadala kwangu kwani kuna jua la kutosha wakati wote wa Mwaka.
Nina Solar Panel ya 40WATTS, Inverter ya 150WATTS, Solar Power control, Betri ndogo ya solar(ya maji) 20N.
System nzima ya Installation imefanyika na kuweza kuwasha vitu vyote hivyo but baada ya muda mfupi sana(sio zaidi ya dk10) mashine ya kunyolea nywele inashindwa kabisa kufanyakazi na betri level ya solar kuwa ya chini kabisa. Hii ni wakati wa mchana, na giza likiingia tu hiyo mashine ya kunyolea ndio haiwaki kabisa.
Nini cha kufanya ili mfumo wangu wa solar iweze kukidhi matumizi yangu.
Wadau ninaomba mawazo yenu ya kitaalamu, maana mahali nilipo hakuna Umeme wa TANESCO na Solar ndio njia mbadala kwangu kwani kuna jua la kutosha wakati wote wa Mwaka.