umemshauri vizuri sana dada yangu na mungu akubariki sana.gpblaze,
Kazi ya ushonaji inahiji saana mtu kujituma. Unaweza uwe na mtaji mkubwa saana but asipojituma ni buree... Mtaji wa kushona ndio moja ya biashara unaweza anzia hata nyumbani kama huna pesa ya office ingawa office yapendeza zaidi.
Vitu vya msingi vya kuzingatia (upande wa gharama na ufanisi)
Pamoja Saana.
umemshauri vizuri sana dada yangu na mungu akubariki sana.
vipi biashara hi inafaida kiasi au sana kiasi ?
...sana kiasi.
Una vifaa na jengo la ofisi tayari au hiyo ndo ya kuanzia kila kitu?
Mimi babu yangu aliwahi kufanya hiyo biashara Dar es salaam maeneo ya tabata, so naweza kumbuka kidogo. Mashine za kushonea kama 3 hivi @ 150,000/=
Mashine ya overlock na kudarizi, sikumbuki bei (tafuta)
Pasi 1 ~ 35, 000/=
Kodi ya eneo ~ 350, 000/=
Picha za mishono ya nguo
Vitambaa vya show ya ofisi
Working capital ya kuanzia ~ 300,000/=
Vifaa vingine vya ushonaji (nyuzi, vifungo, sindano, buttons, zipu, na kadhalika na kadhalika ~ 100,000/=
Ila inategemea unataka uanze biashara yako katika scale gani: ndogo, ya kati au kubwa.
Nakutakia kila la kheri!
Nashukuru mkuu.. mimi nimechukulia kikawaida.Mashine 9.. Ungesema "Kiwanda cha nguo"
Acha masikhara..
UMESAHAU PASI YA MKAA YA KUNYOOSHEA SUTI ZA WATEJA MKUU!!!