Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Naombeni ushauri juu ya hii gari, nahitaji isiokua na turbo engine kuanzia mwaka 2004 hadi 2006. Natanguliza shukurani
 
Naombeni ushauri juu ya hii gari, nahitaji isiokua na turbo engine kuanzia mwaka 2004 hadi 2006. Natanguliza shukurani
gari nzuri nimeitumia toka 2010 nilianza na sf9 mpaka sasa niko na SG5 cross sport. inahimili shida iko na nguvu designed for off road.
spares zipo siku hizi japo bei ya spare sio km ya corolla.
 
gari nzuri nimeitumia toka 2010 nilianza na sf9 mpaka sasa niko na SG5 cross sport. inahimili shida iko na nguvu designed for off road.
spares zipo siku hizi japo bei ya spare sio km ya corolla.
ahsante kwa ushauri.
 
Mimi namiliki subaru forester ya 2004 ni gari zuri sana na huwa napenda kusafiri nalo na wenye v8 hata siku moja hawajawahi kukaa mbele yangu na kwenye muinuko kwa subaru ni kama iko kwenye tambarare tu halafu kizuri ni all weather road iwe matope, mchanga yenyewe inapasua tu kwa kifupi ni gari yenye power sana na barabarani iko stable. Spea zake ndo huwa zina gharama kwa sababu ni genuine na ukiifunga utasahau na ni gari ambayo haina magonjwa ya ovyo ovyo.

Mimi fundi nikimuona labda ni kufanya service, au kubadili plugs. Shokapu na bush nilizibadili 2013 lakini hadi leo bado nzima yaan kwa kifupi ni gari ambalo halina magonjwa cha muhimu service kwa wakati na ufunge filters original za subaru ya gearbox na engine kwa kweli hutajuta kumiliki subaru. Kuhusu mafuta ni utumiaji wako tu kama unapenda kukimbia sana kwa kweli lazima mafuta yakutoke.

Pia nilishamiliki subaru impreza hivyo kwa swali lolote kuhusu subaru forester au impreza niulize nitakujibu kiufasaha kwa sababu ni magari niliyoyatumia lakini nisiulizwe kuhusu Legacy kwa kuwa sijawahi kukaa nayo niliwahi kuiendesha tu mara moja kwa hiyo kwa kifupi Legacy sizijui [HASHTAG]#0718170751[/HASHTAG]
 
Mimi namiliki subaru forester ya 2004 ni gari zuri sana na huwa napenda kusafiri nalo na wenye v8 hata siku moja hawajawahi kukaa mbele yangu na kwenye muinuko kwa subaru ni kama iko kwenye tambarare tu halafu kizuri ni all weather road iwe matope, mchanga yenyewe inapasua tu kwa kifupi ni gari yenye power sana na barabarani iko stable...
Tunashukuru kwa maelezo mazuri, wakenya wanazipenda sana hizi gari nafikiri ni kwasababu ya uimara. Kwa kuwa umezitumia, unaweza kubainisha consumption yake kwenye mazingira tofauti tofauti? handling yake na pia comfortability yake ikoje? Unaweza ukailinganishaje na harrier kama umeshawahi kuitumia, thanks mkuu
 
kwa kifupi mi huwa nashaangaa wabongo ukimuliiizia kuhusu subaru utasikia hizo gar achana nazo zina gharama na zinakula wese... kama unagar ya Cc2000 na inakula wese hiyo mbovu haijalishi lakin ulaji wa subaru (nazungumzia Legacy nayoitumia) ni sawa na IST ya cc2000 ama TI,

Bro sijawah tumia forester ila mungu akinijalia nataka ninunue ya at least mwaka 2008 na kuendelea.. ila in general subaru ni gari ngumu mno, haijalishi ni impreza , forester ama legacy. mi nina legacy b4 Manual transmission na nimei abuse sana tu lakini bado iko order sana. na kama nikiendesha kiustaarabu napata 10km kwa lita, hapo Ac inakuwa sio all time, ila nikiendesha kibishoo kama vijana wa mjin (yaani full Ac na mbioo za kutosha) bas hapo naishia kwenye 6 - 7km kwa lita

kwenye high way huwa napata had 13km kwa lita.

Kwa taarifa tu : Shockup za subaru zinarange kuanzia ( 250,000 - 350000) hapo bila kujali ni forester ama legacy subaru sifaham kuhusu impreza bei zake ila naamini haziachani mbali
so bei hiz za spea nilizoweka chini ni kwa forester na legacy

air filter - 60,000 - 80,000
stabilzer link - 70,000 - 120,000
oil filter - 50,000 - 80,000
wishbone bush - 120,000 - 180,000 ( zile zilizokaa kama Z) , kama unanunua bush yenyewe bila jumba la Z ni around 50,000

Subaru manual engine Oil (recommeded by Subaro OEM) - synthetic 05w30 (prefered brand castrol, Total, Mobil1

Subaru manual car Gear Oil (recommeded by Subaro OEM) - TAF - X 75W - 90, LT SAE 75W - 85, Both should be API GL - 4 ( brand ni same as above)

Hizo Engine oil nilizokutajia zinakupa from 10K - 20K milage kabla ya kumwaga na ndo recommended, kwa Gear oil ni around 10K. mi binafsi natumia castrol nanunuaga pale fire kituo cha Puma bei inacheza kwenye 150,000 had 200,000)

na gear oil bei inacheza around 60,00 had 90,000


KWA KIFUPI KAMA UTAMUDU HUO MCHANGANUO WA HAPO JUU BAS JUA HIYO GARI KUGUSA 300K MILAGE NI GUARANTEE ILA KAMA UTAWEKA OIL ZA ELFU KUMI SIJUI AROBAIN BAS HUVUKI 50K MILAGE, mchawi wa garI ni service na kuzingatia recomended oil, sio unakimbilia vya bei rahisI, na subaru Engine zako ziko very sensitive kwenye oil.

BEI YA HIZO SPEA NILIZOTAJA NI KWA SPEA MPYA, KWA USED SPEA BEI INAKUWA AROUND NUSU YA BEI YA MPYA.

LEGACY b4 (ya mwaka 2002)
 
You are viewing Valuation Details of a 2003 SUBARU FORESTER - SUV. Click here for another Valuation
Reference Number: 1617366062
Make: SUBARU
Model: FORESTER
Body Type: SUV
Year of Manufacture: 2003
Country: JAPAN
Fuel Type: PETROL
Engine Capacity: 1501 - 2000 CC
Customs Value CIF (USD): 2,323.51
Import Duty (USD): 580.88
Excise Duty (USD): 145.22
Excise Duty due to Age (USD): 871.32
VAT (USD): 753.15
Custom Processing Fee (USD): 13.94
Railway Dev Levy (USD): 34.85
Total Import Taxes (USD): 2,399.36
Total Import Taxes (TSHS): 5,370,133.24
Vehicle Registration Fee (TSHS): 480,000.00
TOTAL TAXES (TSHS): 5,850,133.24
© Tanzania Revenue Authority 2017
iyo ni kodi kwa ya 2003
 
You are viewing Valuation Details of a 2005 SUBARU FORESTER - SUV. Click here for another Valuation
Reference Number: 1617366064
Make: SUBARU
Model: FORESTER
Body Type: SUV
Year of Manufacture: 2005
Country: JAPAN
Fuel Type: PETROL
Engine Capacity: 1501 - 2000 CC
Customs Value CIF (USD): 3,465.00
Import Duty (USD): 866.25
Excise Duty (USD): 216.56
Excise Duty due to Age (USD): 1,299.38
VAT (USD): 1,104.19
Custom Processing Fee (USD): 20.79
Railway Dev Levy (USD): 51.98
Total Import Taxes (USD): 3,559.15
Total Import Taxes (TSHS): 7,965,905.44
Vehicle Registration Fee (TSHS): 480,000.00
TOTAL TAXES (TSHS): 8,445,905.44
© Tanzania Revenue Authority 2017
iyo kodi kwa 2005
 
kwa kifupi mi huwa nashaangaa wabongo ukimuliiizia kuhusu subaru utasikia hizo gar achana nazo zina gharama na zinakula wese... kama unagar ya Cc2000 na inakula wese hiyo mbovu haijalishi lakin ulaji wa subaru (nazungumzia Legacy nayoitumia) ni sawa na IST ya cc2000 ama TI,

Bro sijawah tumia forester ila mungu akinijalia nataka ninunue ya at least mwaka 2008 na kuendelea.. ila in general subaru ni gari ngumu mno, haijalishi ni impreza , forester ama legacy. mi nina legacy b4 Manual transmission na nimei abuse sana tu lakini bado iko order sana. na kama nikiendesha kiustaarabu napata 10km kwa lita, hapo Ac inakuwa sio all time, ila nikiendesha kibishoo kama vijana wa mjin (yaani full Ac na mbioo za kutosha) bas hapo naishia kwenye 6 - 7km kwa lita

kwenye high way huwa napata had 13km kwa lita

Kwa taarifa tu : Shockup za subaru zinarange kuanzia ( 250,000 - 350000) hapo bila kujali ni forester ama legacy subaru sifaham kuhusu impreza bei zake ila naamini haziachani mbali
so bei hiz za spea nilizoweka chini ni kwa forester na legacy

air filter - 60,000 - 80,000
stabilzer link - 70,000 - 120,000
oil filter - 50,000 - 80,000
wishbone bush - 120,000 - 180,000 ( zile zilizokaa kama Z) , kama unanunua bush yenyewe bila jumba la Z ni around 50,000

Subaru manual engine Oil (recommeded by Subaro OEM) - synthetic 05w30 (prefered brand castrol, Total, Mobil1

Subaru manual car Gear Oil (recommeded by Subaro OEM) - TAF - X 75W - 90, LT SAE 75W - 85, Both should be API GL - 4 ( brand ni same as above)

Hizo Engine oil nilizokutajia zinakupa from 10K - 20K milage kabla ya kumwaga na ndo recommended, kwa Gear oil ni around 10K. mi binafsi natumia castrol nanunuaga pale fire kituo cha Puma bei inacheza kwenye 150,000 had 200,000)

na gear oil bei inacheza around 60,00 had 90,000


KWA KIFUPI KAMA UTAMUDU HUO MCHANGANUO WA HAPO JUU BAS JUA HIYO GARI KUGUSA 300K MILAGE NI GUARANTEE ILA KAMA UTAWEKA OIL ZA ELFU KUMI SIJUI AROBAIN BAS HUVUKI 50K MILAGE, mchawi wa garI ni service na kuzingatia recomended oil, sio unakimbilia vya bei rahisI, na subaru Engine zako ziko very sensitive kwenye oil


BEI YA HIZO SPEA NILIZOTAJA NI KWA SPEA MPYA, KWA USED SPEA BEI INAKUWA AROUND NUSU YA BEI YA MPYA




LEGACY b4 (ya mwaka 2002)
detailed and extremely information, thanks a ton!
 
kwa kifupi mi huwa nashaangaa wabongo ukimuliiizia kuhusu subaru utasikia hizo gar achana nazo zina gharama na zinakula wese... kama unagar ya Cc2000 na inakula wese hiyo mbovu haijalishi lakin ulaji wa subaru (nazungumzia Legacy nayoitumia) ni sawa na IST ya cc2000 ama TI,

Bro sijawah tumia forester ila mungu akinijalia nataka ninunue ya at least mwaka 2008 na kuendelea.. ila in general subaru ni gari ngumu mno, haijalishi ni impreza , forester ama legacy. mi nina legacy b4 Manual transmission na nimei abuse sana tu lakini bado iko order sana. na kama nikiendesha kiustaarabu napata 10km kwa lita, hapo Ac inakuwa sio all time, ila nikiendesha kibishoo kama vijana wa mjin (yaani full Ac na mbioo za kutosha) bas hapo naishia kwenye 6 - 7km kwa lita

kwenye high way huwa napata had 13km kwa lita

Kwa taarifa tu : Shockup za subaru zinarange kuanzia ( 250,000 - 350000) hapo bila kujali ni forester ama legacy subaru sifaham kuhusu impreza bei zake ila naamini haziachani mbali
so bei hiz za spea nilizoweka chini ni kwa forester na legacy

air filter - 60,000 - 80,000
stabilzer link - 70,000 - 120,000
oil filter - 50,000 - 80,000
wishbone bush - 120,000 - 180,000 ( zile zilizokaa kama Z) , kama unanunua bush yenyewe bila jumba la Z ni around 50,000

Subaru manual engine Oil (recommeded by Subaro OEM) - synthetic 05w30 (prefered brand castrol, Total, Mobil1

Subaru manual car Gear Oil (recommeded by Subaro OEM) - TAF - X 75W - 90, LT SAE 75W - 85, Both should be API GL - 4 ( brand ni same as above)

Hizo Engine oil nilizokutajia zinakupa from 10K - 20K milage kabla ya kumwaga na ndo recommended, kwa Gear oil ni around 10K. mi binafsi natumia castrol nanunuaga pale fire kituo cha Puma bei inacheza kwenye 150,000 had 200,000)

na gear oil bei inacheza around 60,00 had 90,000


KWA KIFUPI KAMA UTAMUDU HUO MCHANGANUO WA HAPO JUU BAS JUA HIYO GARI KUGUSA 300K MILAGE NI GUARANTEE ILA KAMA UTAWEKA OIL ZA ELFU KUMI SIJUI AROBAIN BAS HUVUKI 50K MILAGE, mchawi wa garI ni service na kuzingatia recomended oil, sio unakimbilia vya bei rahisI, na subaru Engine zako ziko very sensitive kwenye oil


BEI YA HIZO SPEA NILIZOTAJA NI KWA SPEA MPYA, KWA USED SPEA BEI INAKUWA AROUND NUSU YA BEI YA MPYA




LEGACY b4 (ya mwaka 2002)
Mi napenda legacy b4 kuliko forester, legacy b4 ziko official
 
Mimi namiliki subaru forester ya 2004 ni gari zuri sana na huwa napenda kusafiri nalo na wenye v8 hata siku moja hawajawahi kukaa mbele yangu na kwenye muinuko kwa subaru ni kama iko kwenye tambarare tu halafu kizuri ni all weather road iwe matope, mchanga yenyewe inapasua tu kwa kifupi ni gari yenye power sana na barabarani iko stable. Spea zake ndo huwa zina gharama kwa sababu ni genuine na ukiifunga utasahau na ni gari ambayo haina magonjwa ya ovyo ovyo. Mimi fundi nikimuona labda ni kufanya service, au kubadili plugs
Legacy ni nzuri sema labda urefu maana ni s/wagon
 
Subaru ziko flexible na very comfortable sana barabarani hasa rough road utazipenda, natumia Subaru Forester LL Bean Edition iko vizuri sana, kuhusi consumption ya mafuta cc2000 nayotumia Mimi iko kawaida sana kumbuka gari zinatumia mafuta na sio mtori, Subaru zinahitaji service na sio uunge vifaa vya Toyota mfano,

filters lazima utumie za Subaru ili uwe safe zaidi, kikubwa ni viscosity ya oil kujua gari yako inayotumia mostlu subaru ikiyopita 10 years from manufacture inabidi utumie oil nzito yenye viscosity 15 or 20w5, ukipata ya miaka ya karibuni basi tumia iliyo nyepesi, Subaru ni symetrical AWD(All Wheel Drive) ambayo ni tofauti kidogo na 4WD,

AWD inakupa nguvu kwa tairi zote 4 ila kwa upande ambao unahitaji nguvu tu, inaweza kua side kwa side au upande wa tairi moja tu tofauti na 4WD ambayo inavuta mbele au nyuma haina side to side
 
Nina Subaru Forester tangu 2009. Ni gari yangu ya tano kumiliki. Usiniambie chochote kuhusu Subaru. Ni gari bora sana usipime. Zingatia proper service, utaenjoy sana. Ni gari nzuri on tarmac and rough roads. Jua pia kuwa Subaru Forester ni gari ndogo lakini ni all weather 4 wheel drive. Huwezi kukwama kwenye barabara mbovu zenye matope ya kijinga. I love Subaru. Mwaaaa!
 
Legacy ni nzuri sema labda urefu maana ni s/wagon
Sio zote kaka kuna legacy ambazo ni Sedan type


 

Attachments

  • subie.jpg
    subie.jpg
    217.4 KB · Views: 219
Back
Top Bottom