Msaada ushauri kesi za jamhuri

Ni changamoto mkuu. Ila kwa hii yangu ni kesi ambayo sijahusika kabisa. Ni katika harakati za biashara mzigo ufike kwako hujui kuwa kimebebwa huko bila idhini ya wahusika. Nimewatajia watu wao bado wanakomaa na mimi na kunihisi ndiyo mhusika mkuu aliyebeba. Mimi vifaa vyangu tu ndo nahitaji, nimewekwa ndani zaidi ya siku 10, dhamana nilipata baada ya kupambana sana na haikuwa rahisi. Nimetoka nikajua suala litashugulikiwa mapema ila ni mwaka unaambiwa manasheria kasafiri, mara mgonjwa, mara subiri kidogo yaani ni usumbufu tu.
Pole sana mkuu, naamini ukipambana utapata mali zako na fidia japo kunaweza kuwa na usumbufu wa hapa na pale. Binafsi nakutakia kila la heri
 
Pole sana mkuu, naamini ukipambana utapata mali zako na fidia japo kunaweza kuwa na usumbufu wa hapa na pale. Binafsi nakutakia kila la heri
Shukrani mkuu. Najifunza mengi kupitia hili jambo. Kuna mambo yanatokea sikuwahi kujua ni kweli yanatokea mpaka nilipofika sero na kuishi mle.
 
Shukrani mkuu. Najifunza mengi kupitia hili jambo. Kuna mambo yanatokea sikuwahi kujua ni kweli yanatokea mpaka nilipofika sero na kuishi mle.
Acha tu mkuu, kama hayajakupata huwezi jua magumu ya mambo ya kesi, hata ukisikia kuwa kuna watu wanasingiziwa kesi utachukukulia poa.
 
Acha tu mkuu, kama hayajakupata huwezi jua magumu ya mambo ya kesi, hata ukisikia kuwa kuna watu wanasingiziwa kesi utachukukulia poa.
Ni kweli mkuu. Changamoto ni nyingi, yaani ukishaingia tu polisi, suala lako kuja kuisha ni umepata hasara na kupoteza muda wa kutosha bila kujali una hatia au huna, they don't care kabisa.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom