Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,466
- 12,916
Pole sana mkuu, naamini ukipambana utapata mali zako na fidia japo kunaweza kuwa na usumbufu wa hapa na pale. Binafsi nakutakia kila la heriNi changamoto mkuu. Ila kwa hii yangu ni kesi ambayo sijahusika kabisa. Ni katika harakati za biashara mzigo ufike kwako hujui kuwa kimebebwa huko bila idhini ya wahusika. Nimewatajia watu wao bado wanakomaa na mimi na kunihisi ndiyo mhusika mkuu aliyebeba. Mimi vifaa vyangu tu ndo nahitaji, nimewekwa ndani zaidi ya siku 10, dhamana nilipata baada ya kupambana sana na haikuwa rahisi. Nimetoka nikajua suala litashugulikiwa mapema ila ni mwaka unaambiwa manasheria kasafiri, mara mgonjwa, mara subiri kidogo yaani ni usumbufu tu.