Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,439
- 2,690
Wakuu kwema?
Naomba kujua jambo kuhusu kesi zinazohusu jamhuri.
Taasisi ya serikali ikikushtaki na ukakamatwa na mwisho wa kesi ikagundulika huna hatia, na wakati unakamatwa vifaa vya ofisi vyote vilichukuliwa kama vielelezo ikiwemo computer zote:-
Je, vifaa vyangu nitarejeshewa au sitovipata tena ilihali sijakutwa na hatia?
Na je, ikitokea nimerejeshewa na nikakugundua baadhi ya vifaa vimeharibika ama kufa (vifaa vya electronics) kutokana na kukaa mda mrefu vikiwa polisi. Nina haki ya kudai vifaa hivyo kutengenezwa au kununuliwa vipya ili nipate vifaa vizima kama zilivyokuwa mwanzo?? Naomba ufafanuzi hapa nani atakayenilipa, kati ya polisi au taasisi iliyonituhumu?
Mwisho naomba kujua je naweza dai fidia kwa muda nilopotezewa zaidi ya mwaka kufuatilia kesi na pia kufungiwa ofisi hivyo kunikosesha kazi na kunipa hasara kwa muda huo wote?
Tafadhali wanasheria naombeni msaada. Haya yote yanatokea hapahapa Tanzania.
Natanguliza shukrani.
Naomba kujua jambo kuhusu kesi zinazohusu jamhuri.
Taasisi ya serikali ikikushtaki na ukakamatwa na mwisho wa kesi ikagundulika huna hatia, na wakati unakamatwa vifaa vya ofisi vyote vilichukuliwa kama vielelezo ikiwemo computer zote:-
Je, vifaa vyangu nitarejeshewa au sitovipata tena ilihali sijakutwa na hatia?
Na je, ikitokea nimerejeshewa na nikakugundua baadhi ya vifaa vimeharibika ama kufa (vifaa vya electronics) kutokana na kukaa mda mrefu vikiwa polisi. Nina haki ya kudai vifaa hivyo kutengenezwa au kununuliwa vipya ili nipate vifaa vizima kama zilivyokuwa mwanzo?? Naomba ufafanuzi hapa nani atakayenilipa, kati ya polisi au taasisi iliyonituhumu?
Mwisho naomba kujua je naweza dai fidia kwa muda nilopotezewa zaidi ya mwaka kufuatilia kesi na pia kufungiwa ofisi hivyo kunikosesha kazi na kunipa hasara kwa muda huo wote?
Tafadhali wanasheria naombeni msaada. Haya yote yanatokea hapahapa Tanzania.
Natanguliza shukrani.