NG'ONG'ONHWI
Member
- Sep 13, 2012
- 31
- 3
kwanza kabisa heshima zenu wana jf.mimi naomba kusaidiwa juu ya jambo hili,kuna madhara gani endapo mtu atakuwa akinyanyua vitu vizito(vyuma)?natanguliza shukurani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi wananyanyua vyuma huku hawajui nini haswa wanataka kiwe matokeo ya unyanyuaji vyuma.
tatizo ni isipofanyika vizuri kutakiwa na dislocation ya joints na pia over stress misuli
me najua kama utabeba chuma in upright position na chuma juu(kwa wanaume)..
kutokana na jinsi muscles zinavyo vutika inapeleka kupungua kwa ukuaji wa nywele( angalia wabeba chuma wengi huwa na nywele hafifu mwishowe huamua kunyoa vipara tu),,ukubwa wa uume hupungua,..pia muscels zitasinyaa sana uzeeni(tunajua nyama hushuka uzeeni ila kwa wabeba chuma inakuwa too much)...
nilisomaga kwa biology book(walieka na picha ya mtu kabeba chuma in upright position) enzi za o level cwezi pata kitabu hicho now....tena the book mention more than hizo ....fasta fasta hizo ndo nilizikumbukaLete ushahidi wa kisayansi ambao unahitimisha hivyo.
nilisomaga kwa biology book(walieka na picha ya mtu kabeba chuma in upright position) enzi za o level cwezi pata kitabu hicho now....tena the book mention more than hizo ....fasta fasta hizo ndo nilizikumbuka
Kubeba chuma "in upright position" ndiyo nini?
na maanisha kubeba chuma ukiwa umesimama na kichuma liko juu umelinyanyua na mikono ....
na maanisha kubeba chuma ukiwa umesimama na kichuma liko juu umelinyanyua na mikono ....
Wewe hujui unachoongelea! Lichuma liko juu umelinyanyua na mikono unafanya zoezi gani?
/mkuu nadhani nakijua ninachokiongelea ....ucniulize mimi utakuwa unafanya zoezi gani we jua kuwa ukibeba chuma kwa mtindo huo hayo madhara tajwa yatahusika
mkuu nadhani nakijua ninachokiongelea ....ucniulize mimi utakuwa unafanya zoezi gani we jua kuwa ukibeba chuma kwa mtindo huo hayo madhara tajwa yatahusika