Wakuu naomba kujua kama kuna ukomo wa umri wa tractor zinazoweza kuingizwa nchini. Nimepata tractor moja ambayo imetengenezwa mwaka 1978 lakini bado iko order sana. Je, sheria inasemaje? Asanteni
Mkuu ... tractor ni machinery/equipment ..... hakuna limitation ya mwaka kama magari .... tena havina ushuru kwa sababu ni agricultural equipment .... utalipia only port charges
Mkuu ... tractor ni machinery/equipment ..... hakuna limitation ya mwaka kama magari .... tena havina ushuru kwa sababu ni agricultural equipment .... utalipia only port charges
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.