Ukibofya I don't have access?mapata hiyo screen hapo ambazo. namba yangu ambayo kwa sasa sina, siwezi badilisha hapoView attachment 1713584
Kama unajua jina mcheki fb kisha mchonge, kama atakuwa nayo ama hatumii anaweza renew kisha ukakajaribu hizo hatua zingine hapa nashauri ili kumpa nguvu lazima umtoe hata ka buku 10mkuu huyo jamaa mwenye hiyo namba hapatika takriba mwaka sasa. nimetuma msg atleast akiwasha aone msg ila wapi. ukipiga najibiwa hiyo namba imezuiliwa
mapata hiyo screen hapo ambazo. namba yangu ambayo kwa sasa sina, siwezi badilisha hapoView attachment 1713584
kama ulikuwwpo kwwnye akili yangu mkuu. nilimcheki jina kwenye airtel money kisha nikamcheki fb bado nasubiriKama unajua jina mcheki fb kisha mchonge, kama atakuwa nayo ama hatumii anaweza renew kisha ukakajaribu hizo hatua zingine hapa nashauri ili kumpa nguvu lazima umtoe hata ka buku 10
nikinonyeza I dont have access mapata hii acreenUkibofya I don't have access?
hapo nikibinyeza napataSasa Mbona umepewa option ya kubonyeza kama hauna namba ?
Hebu tafuta mtu akusaidie