Dada hawezi kumbeba mgongoni kwa sasa wakati ukitafuta suluhisho?Msaada unaitajika ndugu zangu maana hata sijielewi kabisa kwa mambo yanayoendelea. Nilikuwa na mke wangu ila tukaamua kuachana baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka. Baada ya muda kaona haitoshi kamtelekeza mtoto wetu mdogo mwenye umri wa mwaka 1 na nusu kwa sister wangu.
Hapa tatizo ni uchumi, fedha, pesa.Hamkuachana na mwezi wako baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka hapo nyumbani.Mlishaachanishwa kitambo na hali mbaya ya uchumi.Kaa na dada yako umuombe awe na mtoto wako kwa umakini.Tafuta kibarua upate fedha ya mtaji wa ujasiriamali mdogo ili uweze kuwa na mtoto wako karibu na umtunze.Msaada unaitajika ndugu zangu maana hata sijielewi kabisa kwa mambo yanayoendelea. Nilikuwa na mke wangu ila tukaamua kuachana baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka. Baada ya muda kaona haitoshi kamtelekeza mtoto wetu mdogo mwenye umri wa mwaka 1 na nusu kwa sister wangu.
Na "mwenye masikio na asikie"Msichana wa kazi kaa nae wewe pamoja na mtoto kama na hilo haliwezekani basi.
Nina watoto wawili nipo kwenye harakati za kuchukua upande mzima (wapemba wanaelewa hapa) yaani vyumba viwili au vitatu na sebule kisha
📌📌Mleta mada wewe ni hasara kwa taifa.
Msaada unaitajika ndugu zangu maana hata sijielewi kabisa kwa mambo yanayoendelea. Nilikuwa na mke wangu ila tukaamua kuachana baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka. Baada ya muda kaona haitoshi kamtelekeza mtoto wetu mdogo mwenye umri wa mwaka 1 na nusu kwa sister wangu.
Hongera sanaNimesoma nimeumia sana, Nina watoto wadogo mapacha wa umri huo, nimewawazia jinsi wanavyonipokea nikirudi toka mihangaikoni nikamsikitikia huyo binti yako, na inaonekana mnamchukulia Kama ni mzigo kwenu kwahiyo hata tukikushauri ubaki nae bado atakosa upendo wa wazazi
nichek 0769922210 nimchukue
NOTE: tutakamilisha taratibu zote za kiserikali ili nimuasili
Matatizo ya kumwaga mbegu kwenye mchanga badala ya udingiMkuu pole sana unayopitia,ila kiukweli umenisikitisha sana kutaka kumgawa mtoto.
Yani ukifanya hivyo,utakua mbaya kuliko mkeo,mana angalau yeye alimuacha akijua wewe upo na dada yako atamlea.
Lakini wewe unataka kumuachia mtu yeyote usiemjua,vipi akichukuliwa na watu wabaya?unapata amani gani kuacha damu yako kwa mtu usiemjua?
Alafu hauna ndugu wengine?we nenda kwa ndugu yeyote zaidi ya dada yako?
Aisee ni changamoto sana.Matatizo ya kumwaga mbegu kwenye mchanga badala ya udingi