T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,647
- 34,909
Mimi sijajitegemea bado HESLB wananishika mkonoJaribu kufanya hivyo mkuu mother nature itakulipa kwa namna yoyote ile.
Mimi sijajitegemea bado HESLB wananishika mkonoJaribu kufanya hivyo mkuu mother nature itakulipa kwa namna yoyote ile.
Tafuta dada wa kazi ila usimnyandue lazima uwe mgumuBibi yake alishafariki
😂😂😂😂😂Bora ujiue ufe tujuwe mtoto ni yatima hana mzazi. Pumbavu wewe
Umenena vyema,huyu inavyoonekana hakuona thamani ya baby mama wake.Inawezekana hata alikua hatoi matumizi na Mama mwenyewe hakua na kipato hivyo kaona ngoja amfunze adabu japo hata mtoto anateseka.Ushauri wangu ,mtafute baby mother wako muongee muyamalize kwa ustawi wa mtoto wenu.Hakuna jambo lisilokuwa na sababu mpaka mkeo anakukimbia na mtoto anamtelekeza na wewe unataka kumtelekeza inaonekana your the kind of Man ambaye hauko responsible kusimamia majukumu yako kama baba wa familia.
Ushauli wangu pambana umrudishe mkeo nyumbani na uanze kusimamia majukumu yako kama baba haya mambo ya kumpeleka mtoto sijui kwa sister sijui kwa mama achana nayo wee pambana na hali yako simamia majukumu yako.
Kwa iyo kumtupa mtoto na kumgawa kipi ni bora?
Fala sana huyu jamaa
Kwakweli.Kwamba unataka kumgawa jumla sababu wewe umeshindwa kumlea, what a wonder
Naanza kuwaza kama vile mkeo yuko yuko sahihi kukukimbia vilee?
Yale yale.Mpelekee day care...utalipa ukipata
Utakuwa unadaiwa tu
Anipe mimi huyo mtoto ila kwanza nataka kupima akili za huyu bwana na mkewe kama zipo sawasawaKama nimekusoma vizuri, unataka kumgawa kwa mtu, ikibidi awe wake kabisa.
Ndio hamtakiKwanza wewe mwanaume ni mpumbavu mkubwa mwanao unamuacha kwenye barabara .. useme tuu humtaki mwanao