NyaniMzee
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 396
- 727
Wakuu na madaktari mliopo jamvini.
Naomba mnijuze. Nina mjomba wangu ana miaka karibu 90 na amefanyiwa vipimo na kuonekana kuna maji katika kichwa chake yaliyosababishwa na mgando wa damu. Madaktari wamependekeza afanyiwe upasuaji kichwani kesho ili kutoa maji hayo. Binafsi naona hiyo operesheni ni risk kubwa kwa maisha yake. Naomba maoni yenu wakuu.
Natanguliza shukurani.
Naomba mnijuze. Nina mjomba wangu ana miaka karibu 90 na amefanyiwa vipimo na kuonekana kuna maji katika kichwa chake yaliyosababishwa na mgando wa damu. Madaktari wamependekeza afanyiwe upasuaji kichwani kesho ili kutoa maji hayo. Binafsi naona hiyo operesheni ni risk kubwa kwa maisha yake. Naomba maoni yenu wakuu.
Natanguliza shukurani.