Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Heshima wakuu,
Nina hard disk ya 1TB aina ya seagate, inanitaka niiformat ninapoingiza kwenye usb port ndo niweze kuitumia na mimi sitaki kufanya hivyo kwa sababu data zangu zote zipo huko. Mwenye maujuzi kuhusu hili naomba atiririke hapa ili niweze kuokoa data zangu
Nina hard disk ya 1TB aina ya seagate, inanitaka niiformat ninapoingiza kwenye usb port ndo niweze kuitumia na mimi sitaki kufanya hivyo kwa sababu data zangu zote zipo huko. Mwenye maujuzi kuhusu hili naomba atiririke hapa ili niweze kuokoa data zangu