Class assignment. mhhhh
Ili uwe mwanafunzi bora inabidi useme so far umefanya nini ulischoshinwa usipende kuwa spoon fed.
Kama aliyewapa assignment hajawaambia ametaka mtumie intellgency ya vichwa vyenu kutambua where to find what.
So assume hupati msaada wa maana hapa. How will you go about that assignment.? Utafanyaje kuzipata hizo principle?Kwa Maelezo kama hayo wana jf watakuwa wanachangia kwa mwanafuzi anayejituma. Kuliko kuchangia kitu ambacho mwanafuzi mwenyewe hata hajasema amefanya nini.
Be active student. Take it as constructive criticism