RomboMoshi
Senior Member
- May 17, 2021
- 188
- 228
- Thread starter
- #401
Kuachana na mtu au mchepuko tu uliouzoea kuna tabu kidogo japo kuna time inafika inabd uchukue maamuzi magumu hasa kama yana faida upande wako mfano mm nlikuwa na kimchepuko kitaa hapa ambacho kilikuwa kinasoma chuo but kimepanga hapa kitaa sasa nkawa nanipooza na ofcoz nilikipenda sanaa nacho naamin linanipenda sasa kilipomaliza chuo kikapata kazi flani mkoa jirani japo sio mbali. Hapa ndo nkaanza kuwaza huyu sio mke wangu na huko anaishi mwenyewe bora hapa kitaa namuona muda mwingi huko aliko kuonana mpaka mwez labda upite ndo tupange appointment nkaona hapana maana hata wilaya anayoishi ni hatarishi so sababu kumcontrol na kummonitor ishakuwa ngumu njia pekee yamm na familia yangu kubaki safe ni kumpiga chini so nkamtafutia sababu tu basi japo alinisihi sanaaa tuendelee ila moyo wangu tayari ulikuwa hautaki maana nilishanusa hatari mbeleni so saiv tunawasiliana tu mara mojamoja kwa salam ila mapenz ndo basi niliyasitisha kwa usalama wangu
Aisee inataka moyo ila hakuna namna chief! Asante kwa ushauri