Pumzi
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 321
- 54
Jamani nisaidieni ninatatzo la nguvu za kiume,.kuwai kumaliza,.kuwa na misuli lege lege ya uume,.nimewai kuomba ushauri hapa nikapewa mbinu za kurudisha nguvu hzo kwa njia ya asili nimejarbu bila mafanikio imeshndkana....kwa sasa nimepewa ushauri kwenda kwa wa masai sasa naombeni ushauri je? dawa zao ni za ukweli?? Na kuna mtu zimewai kumsaidia humu
NISAIDIENI NDUGU ZANGU NTAPOTEZA NDOA YANGU
NISAIDIENI NDUGU ZANGU NTAPOTEZA NDOA YANGU