Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Wataalamu naombeni msaada. Kuna vifaa fulani vya michezo ya watoto nataka kuviagiza nje ya nchi.
Kampuni iko South Africa wameniambia mzigo utatokea USA na utashushwa Bandari ya Dsm. Bei waliyonipatia wamesema VAT ni excluded na pia masuala ya clearing bandarini ni juu yangu.
Hivyo nimeona kabla sijalipia huo mzigo ambao unagharama kama ya Mil. 9 za kibongo nije kwa wataalamu ili nijiandae kujua usumbufu wa Clearing bandarini na gharama zake lkn pia na gharama za VAT kwa mzigo huo itakuwa kama sh. ngapi?
Asanteni sana
Kampuni iko South Africa wameniambia mzigo utatokea USA na utashushwa Bandari ya Dsm. Bei waliyonipatia wamesema VAT ni excluded na pia masuala ya clearing bandarini ni juu yangu.
Hivyo nimeona kabla sijalipia huo mzigo ambao unagharama kama ya Mil. 9 za kibongo nije kwa wataalamu ili nijiandae kujua usumbufu wa Clearing bandarini na gharama zake lkn pia na gharama za VAT kwa mzigo huo itakuwa kama sh. ngapi?
Asanteni sana