lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,939
- 517
Wakuu naombeni ufafanuzi hapa. Kati ya MWEZI na JUA kipi kina nguvu zaidi ya kingine? Pili wanasayansi wengi husafiri kwenda mwezini, Je! Kwa nini hawaendi kwenye jua? Pia wanasayansi hao hao husema mwezini kuna viumbe hai, Je! Kwenye jua hakuna viumbe hai?