mbalazo docta
Member
- Aug 7, 2017
- 44
- 22
Nimemaliza kidato cha sita nikapata ESS nikaapply cheti ualimu (grade A)
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali
Ukimaliza cheti mwaka mmoja ,unajiunga na diploma ambayo ni miaka miwili na baada ya kumaliza diploma vizuri unaweza kuendelea na masomo ya shahada chuo kikuu.Nimemaliza kidato cha sita nikapata ESS nikaapply cheti ualimu (grade A)
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali
Cheti ni miaka miwiliUkimaliza cheti mwaka mmoja ,unajiunga na diploma ambayo ni miaka miwili na baada ya kumaliza diploma vizuri unaweza kuendelea na masomo ya shahada chuo kikuu.
Hakuna kitu kama hiki kwenye Ualimu.Ukimaliza cheti mwaka mmoja ,unajiunga na diploma ambayo ni miaka miwili na baada ya kumaliza diploma vizuri unaweza kuendelea na masomo ya shahada chuo kikuu.