Ghostx
Member
- Oct 18, 2017
- 39
- 62
waungwana habari zenu.
natarajia kusafiri hivi karibuni kutoka Dar es salaam kwenda rukwa/sumbawanga na ni mara yangu ya kwanza kwenda huko.
Msaada ninaotaka kwenu ni kujua, ni basi gani zuri linalokwenda huko?
(nikisema zuri namaanisha sio bovu na lenye mwendo ambao hautatuweka mda mrefu barabarani)
Na nikitoka dar nitegemee kuingia rukwa saa ngapi?
Pia bei za rest house zikoje?, na ni rest house gani ni nzuri kwa kufikia mgeni kama mimi ambae natagemea kufanya mishe zangu palepale mjini?
kama kuna ushauri mwengine wowote usisite kunipa tafadhali.
Natanguliza shukran zangu kwenu.
natarajia kusafiri hivi karibuni kutoka Dar es salaam kwenda rukwa/sumbawanga na ni mara yangu ya kwanza kwenda huko.
Msaada ninaotaka kwenu ni kujua, ni basi gani zuri linalokwenda huko?
(nikisema zuri namaanisha sio bovu na lenye mwendo ambao hautatuweka mda mrefu barabarani)
Na nikitoka dar nitegemee kuingia rukwa saa ngapi?
Pia bei za rest house zikoje?, na ni rest house gani ni nzuri kwa kufikia mgeni kama mimi ambae natagemea kufanya mishe zangu palepale mjini?
kama kuna ushauri mwengine wowote usisite kunipa tafadhali.
Natanguliza shukran zangu kwenu.