Msaada tutani wakuu

Shuka kahama lala hapo asbh uliza gari za kwenda mwime watakuonesha... Kule Sasa kasome mchezo...Kama una kianzio kidg utafanya biashara maana maeneo huwa mnakatiwa kwa Bei rafiki ...kauze hata maji au juic za kopo ..uzuri machimboni maji ni maji. Iwe baridi au Moto yanaenda tu! Au Kam uko vyema kapike mbuzi na ugali kuanzia asbh. .! Ugali Dona na mhogo! Mbuzi ichemshe tu😋😋!hukosi 200-250k Kama Kuna nyomi
 
Shuka kahama lala hapo asbh uliza gari za kwenda mwime watakuonesha... Kule Sasa kasome mchezo...Kama una kianzio kidg utafanya biashara maana maeneo huwa mnakatiwa kwa Bei rafiki ...kauze hata maji au juic za kopo ..uzuri machimboni maji ni maji. Iwe baridi au Moto yanaenda tu! Au Kam uko vyema kapike mbuzi na ugali kuanzia asbh. .! Ugali Dona na mhogo! Mbuzi ichemshe tu!hukosi 200-250k Kama Kuna nyomi
Shukrani sana mkuu kwa directives zako
 
Ni salama zaidi kumpa kazi mtu unayemfahamu vema undani wake ili asije akafanya mambo ya hovyo huko kazini kisha akachafua reputation yako nzuri.
Wasiwasi ndo akili mkuu,, mie CV yangu iko vizuri tu ni mchapakazi na a very humble person...ni vile tu hujapata fursa ya kunifahamu.
All in all nakaribisha mtu yeyote mwenye nia njema ya kunikwamua hapa nilipo Sasa
 
Shuka kahama lala hapo asbh uliza gari za kwenda mwime watakuonesha... Kule Sasa kasome mchezo...Kama una kianzio kidg utafanya biashara maana maeneo huwa mnakatiwa kwa Bei rafiki ...kauze hata maji au juic za kopo ..uzuri machimboni maji ni maji. Iwe baridi au Moto yanaenda tu! Au Kam uko vyema kapike mbuzi na ugali kuanzia asbh. .! Ugali Dona na mhogo! Mbuzi ichemshe tu!hukosi 200-250k Kama Kuna nyomi
I promise ntafika huko mwime dada #Manengelo na ntakupa mrejesho.
Kwasasa Sina cha kupoteza maana Sina mtoto, mke wala demu anayenipa pressure so I will struggle more reluctantly until I make a fortune out of it!
 
Back
Top Bottom