Msaada tutani, Pc yangu haifunguki

buffalo44

JF-Expert Member
May 8, 2016
2,969
5,768
Wakuu salaam

Nina pc yangu Hp probook, nilikuwa nafanya kazi fresh baadae naiweka chaja Windows inagoma kufunguka inaleta hii notification.
IMG_20200409_200448.jpg


Msaada tafadhali.
 
Jaribu kuiwasha pc kwenye safe mode na uisubirie kama lisaa hivi.
 
Hawa ndio walio mfanyia huu upuuzi KONDE BOY na kumkatisha tamaa bado wanaendelea tu na ujinga wao
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom