kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,856
- 7,003
Kama kichwa kinavyojieleza, nimepata dharura leo nahitaji mkopo wa faster kiasi cha laki nne, ni taasisi ipi wanaweza kutoa mkopo kwa riba nzuri, dhamana ipo kadri ya mahitaji ya taasisi...
Thanks ila hawa leo hawafanyi kazi
Hii Mkuu si hadi uwe na account huko?Amana Bank
Niko Dar, ndani ya week 3Uko wapi ?
Una mpango wa kulipa baada ya muda gani ?