fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 530
- 551
Ninahitaji kufahamu wapi naweza kupata gari malori, Fuso au Canter, nina mizigo yangu napeleka mkoani Shinyanga.
Naomba nisaidieni pia na za mikoa mingine Tanzania kama nahitaji kupeleka mizigo huko.
Kama naweza pata namba ya dereva na sehemu anayepatikana itapendeza zaidi.
Nichek 0683 238 052
Naomba nisaidieni pia na za mikoa mingine Tanzania kama nahitaji kupeleka mizigo huko.
Kama naweza pata namba ya dereva na sehemu anayepatikana itapendeza zaidi.
Nichek 0683 238 052